Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Briana Kagemuro ashika nafasi ya Pili Kombe laTennis-Washington DC

Mtoto Briana Kagemuro(kulia) , amekuwa mshindi wa pili wa mpira wa Tennis katika kombe la Spring-lililofanyika SE Tennis Center Washington DC. Jumamosi iliyopita. Briana alipata ushindi wa pili baada ya kuwashinda wapinzani wake nane katika michuano hiyo na kupoteza kwa mpinzani mmoja Kijana Deleo.Ushindi huo umempatia mtoto Briana kuingia katika Michuano ya kitaifa Kanda zote Marekani kwa Mpira wa Kijani wa Tennis.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BRIANA NA BRYAN WANYAKUA KOMBE KATIKA MCHEZO WA TENNIS MASHINDANO YA SETLC FALL JR. OPEN 2015 WASHINGTON, DC

Vijana wenye asili ya Kitanzania Briana Kagemuro na Bryan Mwombeki wameonyesha umahiri wa mchezo wa Tennis uliofanyika leo Jumamosi, September 19,2015 katika viwanja vya nyumbani kwao South East Tennis and Learning Center, South East Washington, DC.
Briana Kagemuro alikuwa katika kinyanganyiro cha Wasichana wenye umri wa miaka 12 Singles (Girls 12 singles) ambapo alimshida Isabella De Leo 6-4,6-4; Cassi Chen 7-6,6-3,10-6 na Asha verma 6-4,6-4.

Naye Bryan Mwombeki alipata kombe lake la ushindi...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika

12346294_444980479044924_1318155553_n

Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.

12346294_444980479044924_1318155553_n

Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.

MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.

Orodha hiyo ni:

1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

Mwananchi

Hesabu kali ya nafasi ya pili

Wakati Yanga ikianza kuonyesha dalili ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kuna vita mbili zimeibuka ambazo zitaamuliwa na mechi chache zilizosalia kwenye ligi hiyo.

 

11 years ago

GPL

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014

Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014. Robin van Persie akiifungia Uholanzi bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya tatu ya mchezo.…

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA U15 TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI AYG

Tanzania imeshika nafasi ya pili kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya jana (Mei 29 mwaka huu) kuilaza Afrika Kusini mabao 2-0.

Mechi hiyo ilichezwa Uwanja wa SSKB jijini Gaborone ambapo kwa matokeo hayo Tanzania imetwaa medali ya fedha baada ya kushika nafasi ya pili. Nigeria ndiyo ilishika nafasi ya kwanza na kutwaa medali ya dhahabu.
Tanzania imemaliza ikiwa na pointi kumi ambapo ilishinda mechi tatu,...

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU


Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.  
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yashika nafasi ya pili katika malipo kupitia simu za mkononi

Kumiliki simu ya mkononi imekuwa si jambo la starehe kama miaka ya nyuma ilivyokuwa inasadikika. Kadri miaka inavyozidi kwenda kumekuwa na matoleo mapya ya simu za mkononi  na huduma za kipekee  zilizo na manufaa kwa jamii.

 Meneja mkazi wa JovagoTanzania, Bw.Andrea Guzzoni amefafanua kwamba “kadri matumizi ya simu za kisasa yanavyoongezeka, kunakuwa na huduma tofauti za  malipo kupitia simu za mkononi (Online payments), malipo haya yameongezeka kwa kasi kubwa kupitia Mpesa, Tigopesa, Airtel...

 

9 years ago

Bongo5

Selena Gomez aongoza chart za Billboard 200, The Game akamata nafasi ya pili

Nyota wa muziki wa Pop, Selena Gomez amemzidi kete rapper The Game kwa kushika nafasi ya kwanza kwenye chart za wiki za album, Billboard 200. Revival, albamu ya pili ya mrembo huyo mwenye miaka 23, iliuza kopi 117,000 katika wiki iliyomazilika. Album ya ya The Game, Documentary 2 imekamata nafasi ya pili kwa kuuza kopi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani