Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHE WAZIRI SAMUEL SITTA WASHINGTON DC SEHEMU YA PILI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA UCHUKUZI MHE. SAMUEL SITTA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUISHAWISHI JAMII JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta pamoja na Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Kijazi wakijadili jambo wakati wa mkutano na wanahabariakiongea na wanahabari kwenye maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani tarehe 23 Machi 2015
Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta (MB) akiongea na wanahabari kwenye maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 23 Machi, yenye kauli mbiu isemayo 'Uelewa wa hali ya hewa kwa maamuzi stahiki'. Pembeni ni Mkurugenzi Mkuu TMA, Dkt. Agnes...

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta (Pt I).......KATIBA

Karibu katika sehemu hii ya kwanza kati ya mbili za mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta (Mb)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia zaidi suala hili la Katiba hii pendekezwa, na mchakato mzima wa kuipata
Karibu
 

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta......Wizara na Kugombea Urais

Karibu katika sehemu hii ya pili ya mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta (Mb)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia kuhusu kazi zake kama Waziri wa Uchukuzi na pia nia yake ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu (2015)
Karibu

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini

PIX 1

Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba  akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.

PIX 3

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...

 

10 years ago

Vijimambo

JAJI BUBESHI AKABIDHI RIPOTI YA TUME YAKE KWA MHE. SAMUEL SITTA

 Jaji Bubeshi na timu yake wakifanya maongezi na Mhe. Samuel Sitta ofidini kwake siku ya Jumanne March 24, 2015 kabla ya kumkabidhi ripoti  ya kuchunguza mwenendo uliokuwa unalalamikiwa kuhusu aliyekuwa DG Eng Madeni Kipande katika Mamlaka ya Bandari Tanzania. Jaji Bubeshi na timu yake wakiendelea na mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta. Jaji Bubeshi (kulia) akijiandaa kukabidhi ripoti kwa Mhe. Samuel Sitta.Jaji Bubeshi akimkabidhi Mhe Samuel John Sitta ripoti ya tume aliyoiunda ya kuchunguza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani