Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta......Wizara na Kugombea Urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-jeox1AefZXI/VP0PNxZpbUI/AAAAAAAAICQ/4pV0VJbdBlQ/s72-c/Snapshot(60).jpg)
Karibu katika sehemu hii ya pili ya mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta (Mb)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia kuhusu kazi zake kama Waziri wa Uchukuzi na pia nia yake ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu (2015)
Karibu
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6jRcPGJ5bSI/VPPLf-NanLI/AAAAAAAAH-g/fuYWw8reAlM/s72-c/Snapshot(60).jpg)
Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta (Pt I).......KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6jRcPGJ5bSI/VPPLf-NanLI/AAAAAAAAH-g/fuYWw8reAlM/s1600/Snapshot(60).jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia zaidi suala hili la Katiba hii pendekezwa, na mchakato mzima wa kuipata
Karibu
10 years ago
MichuziMaandalizi ya hafla ya Mh Samuel Sitta kutangaza nia ya kugombea urais yaiva mkoani Tabora leo.
Habari na picha kwa hisani ya Mkala Fundikira wa TBN central zone
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hvEr6sV0CdU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gaCSH3S-ev4/default.jpg)
10 years ago
VijimamboMH. SAMUEL SITTA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya mamia ya wakazi wa kata ya Itetemia, Tabora mjini na wilaya za jirani na mji wa Tabora.Akieleza sababu tano zilizomfanya atangaze nia yake ambazo ni
1.Muungano
Toka pande zetu mbili za muungano zinatolewa kauli na pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RXzABnkPu40/VRHrAK-72JI/AAAAAAADdkw/ok9qFsIqEbw/s72-c/BUBESHI2.jpg)
JAJI BUBESHI AKABIDHI RIPOTI YA TUME YAKE KWA MHE. SAMUEL SITTA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RXzABnkPu40/VRHrAK-72JI/AAAAAAADdkw/ok9qFsIqEbw/s1600/BUBESHI2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5s_9xahpdsw/VRHrAMo1_hI/AAAAAAADdk0/ZC7sEpj96fQ/s1600/BUBESHI3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pa3EzFIlUDY/VRHrAwHTARI/AAAAAAADdlA/UjhDJGhRjcQ/s1600/BUBESHI4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nt5tExJwihI/VRHrAK-NksI/AAAAAAADdks/LUysriTP5qw/s1600/BUBESHI%2B1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini
Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s72-c/DSC09035.jpg)
WAZIRI WA UCHUKUZI MHE. SAMUEL SITTA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUISHAWISHI JAMII JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s640/DSC09035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0bXDXjhk0zE/VREwpCtBSRI/AAAAAAAAAvo/rJwRHtKExeM/s640/DSC09038.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yqrNPc-0gX4/VREwo7IYCTI/AAAAAAAAAvs/uj0eqFD_SXo/s640/DSC09051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lQb2C5hODEw/VREwp8Df90I/AAAAAAAAAv4/t1dNYIrGbNc/s640/DSC09052.jpg)
Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta (MB) akiongea na wanahabari kwenye maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 23 Machi, yenye kauli mbiu isemayo 'Uelewa wa hali ya hewa kwa maamuzi stahiki'. Pembeni ni Mkurugenzi Mkuu TMA, Dkt. Agnes...