JAJI BUBESHI AKABIDHI RIPOTI YA TUME YAKE KWA MHE. SAMUEL SITTA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RXzABnkPu40/VRHrAK-72JI/AAAAAAADdkw/ok9qFsIqEbw/s72-c/BUBESHI2.jpg)
Jaji Bubeshi na timu yake wakifanya maongezi na Mhe. Samuel Sitta ofidini kwake siku ya Jumanne March 24, 2015 kabla ya kumkabidhi ripoti ya kuchunguza mwenendo uliokuwa unalalamikiwa kuhusu aliyekuwa DG Eng Madeni Kipande katika Mamlaka ya Bandari Tanzania.
Jaji Bubeshi na timu yake wakiendelea na mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta.
Jaji Bubeshi (kulia) akijiandaa kukabidhi ripoti kwa Mhe. Samuel Sitta.
Jaji Bubeshi akimkabidhi Mhe Samuel John Sitta ripoti ya tume aliyoiunda ya kuchunguza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Km9B6739o3I/VX5Ta07FTrI/AAAAAAAHfcs/CwmY8czR1L4/s72-c/New%2BPicture.png)
MHE. JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Km9B6739o3I/VX5Ta07FTrI/AAAAAAAHfcs/CwmY8czR1L4/s640/New%2BPicture.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_m103K69cOY/VX5TK60GqZI/AAAAAAAHfcc/kXcYikuajg0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_m103K69cOY/VX5TK60GqZI/AAAAAAAHfcc/kXcYikuajg0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
MHE JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-_m103K69cOY/VX5TK60GqZI/AAAAAAAHfcc/kXcYikuajg0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6jRcPGJ5bSI/VPPLf-NanLI/AAAAAAAAH-g/fuYWw8reAlM/s72-c/Snapshot(60).jpg)
Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta (Pt I).......KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6jRcPGJ5bSI/VPPLf-NanLI/AAAAAAAAH-g/fuYWw8reAlM/s1600/Snapshot(60).jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia zaidi suala hili la Katiba hii pendekezwa, na mchakato mzima wa kuipata
Karibu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jeox1AefZXI/VP0PNxZpbUI/AAAAAAAAICQ/4pV0VJbdBlQ/s72-c/Snapshot(60).jpg)
Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta......Wizara na Kugombea Urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-jeox1AefZXI/VP0PNxZpbUI/AAAAAAAAICQ/4pV0VJbdBlQ/s640/Snapshot(60).jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia kuhusu kazi zake kama Waziri wa Uchukuzi na pia nia yake ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu (2015)
Karibu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hvEr6sV0CdU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gaCSH3S-ev4/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini
Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Sugu: Samuel Sitta alisaliti ahadi yake