Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRIGEDIA JENERALI SARA THOMAS RWAMBALI ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA AU SUDAN YA KUSINI

Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali 
Na Mwandishi Maalum, New York
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr. Nkosanzana Dlamini Zuma, amemteua, Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ),kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika Sudan ya Kusini .
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na AU na nakala yake kutumwa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, inaeleza kwamba ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BRIGEDIA JENERALI SARA THOMAS RWAMBALI ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA AU SUDAN YA KUSINI

Katika picha hii ya Maktaba, Amiri Jeshi Mkuu , Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wananchi wa Tanzani ( JWTZ) Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali ambaye hivi karibuni, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr. Nkosazana Dlamini Zuma amemteua kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika nchi Sudani ya Kusini.
Na Mwandishi Maalum, New York
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr. Nkosanzana Dlamini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamama Mtanzania Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali ateuliwa kuwa mwakilishi maalum wa AU Sudan ya kusini

jk14

Na Mwandishi maalum, New York

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr.Nkosanzana Dlamini Zuma, amemteua,  Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali kutoka Jeshi la Wananchiwa wa Tanzania ( JWTZ), kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika Sudan yaKusini .

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewana AU na nakala yake kutumwa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, makakazi ya Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali yatakuwa Juba.

Pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam


Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam. 
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania,  bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni  barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu  Zimbabwe na  Afrika...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI AWAPANDISHA VYEO MAAFISA WAKUU KUWA BRIGEDIA JENERALI NA WENGINE MEJA JENARALI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Joseph Pombe Magufuli amewapandisha vyeo Maafisa Wakuu kuwa Brigedia Jenerali na wengine kuwa Meja Jenerali kuanzia tarehe 02 Juni, 2020.


       Miongoni mwa waliopandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali ni pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kanali (Balozi) Wilbert Augustin Ibuge na Kamishna wa Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Kanali Francis Ronald...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali wa Sudan Kusini auwawa Bor.

Mapigano makali yamezuka nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini wa Bor na Jenerali mmoja wa jeshi la Sudan Kusini ameuwawa.

 

10 years ago

Mtanzania

Brigedia Jenerali Mbita kuzikwa leo

mbitaAdam Mkwepu na Easther Mnyika, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita (82), anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mbita aliyefariki dunia Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, anatarajiwa kuzikwa leo alasiri katika makaburi ya Kisutu.
Kifo cha mpigania uhuru huyo wa nchi za Afrika kimewagusa viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali ambapo Katibu Mkuu wa Chama...

 

10 years ago

Mtanzania

Brigedia Jenerali Mbita afariki dunia

mbitaJonas Mushi na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MMOJA wa Watanzania waliofanikisha ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika,Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), alifariki dunia jana katika Hospitali Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo ambako alikuwa amelazwa kwa muda mrefu.

Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwa marehemu Chang’ombe Madukani Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu Iddi Mbita alisema baba yake alifariki dunia saa 3:30 asubuhi baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu...

 

10 years ago

Mtanzania

Nchi 16 wamzika Brigedia Jenerali Mbita

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

VIONGOZI wa nchi mbalimbali za Afrika jana walijitokeza kuaga mwili wa aliyekua katibu mtendaji wa kamati ya ukombozi kusini Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita katika Hosipitali ya jeshi ya Lugalo, Dar es salaam.

Mbali na nchi hizo, Rais Jakaya Kikwete aliongoza kuaga mwili wa marehemu Mbita akifuatana na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda pamoja na viongozi waandamizi wa jeshi na vyama vya siasa.
Mwili wa Mbita uliagwa jana...

 

10 years ago

Habarileo

Brigedia Jenerali Mtezo kuzikwa leo

BRIGEDIA Jenerali mstaafu, Hashimu Said Mtezo (69) wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye alifariki mwishoni mwa wiki, anatarajiwa kuzikwa leo Mbezi Louis jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani