Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRN yaipa changamoto sera ya ugatuaji madaraka

DSC_0734

Profesa Fortunata Makene wa idara ya tafiti za mikakati na machapisho wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), akifungua warsha hiyo ya siku moja iliyowakutanisha wataalamu kujadili matokeo ya utafiti wa ufanisi wa mfumo wa ugatuaji madaraka ambapo mamlaka yanapelekwa kwa wananchi (Efficiency and Effectiveness of Decentralization and Local Government Capital Development Grant LGCDC systems in Tanzania).(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Na Mwandishi wetu,

HATUA za...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTENDAJI MKUU BRN ATOA CHANGAMOTO

Ushirikishaji wa wananchi nguzo ya kutekeleza BRN
TAASISI za Serikali zinazohusika katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimetakiwa kuhakikisha kuwa wananchi wanaelezwa mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Mpango huo.
Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam leo Jumatano na Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utekelezaji wa BRN, Bw. Omari Issa alipokuwa akifungua Mkutano wa Kwanza wa Watendaji wa Serikali Kutathmini...

 

10 years ago

Michuzi

MAABARA YA BRN KUCHAMBUA CHANGAMOTO YA MASOKO KATIKA KILIMO

Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imealika wataalamu wa kilimo ili kuchambua na kutoa mapendekezo juu ya namna bora nchi inavyoweza kutatua changamoto ya masoko kwa wakulima. Ili kufikia lengo hilo, maabara ndogo ya siku tano imeandaliwa ili kutathmini mifumo ya sasa ya masoko kwa mazao ya mahindi na mpunga.  
Akifungua maabara hiyo jijini Dar es Salaam, Jumatatu, Mtendaji Mkuu wa PDB, Bw. Omari Issa amewataka wadau...

 

11 years ago

Habarileo

ALAT kuunga mkono mgombea Urais anayejali ugatuaji

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi amesema kuwa jumuiya hiyo itamuunga mkono Rais ambaye atahakikisha anagatua madaraka kwenda ngazi za chini pamoja na kusimamia sheria zake.

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

10 years ago

Vijimambo

CAF yaipa TZ uenyeji U-17.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limetimiza ndoto za Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, za kuwa mwenyeji wa michuano mikubwa baada ya juzi kuipa Tanzania uenyeji wa fainali za michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 mwaka 2019.

Katika michuano hiyo, Tanzania itashiriki michuano hiyo bila kupita katika hatua ya mchujo kutokana na faida ya uenyeji, ambao pia utatoa fursa ya kuomba kuandaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sweden yaipa Zanzibar bil.11/-

SERIKALI ya Sweden imetiliana saini mkataba wa sh. bilioni 11na Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya kuisaidia miradi ya maendeleo ikiwemo nishati.  Mkataba huo ulisainiwa na Katibu mkuu wa Wizara...

 

11 years ago

Mwananchi

EU yaipa Tanzania Sh1.4 trilioni

Umoja wa Ulaya (EU), utaipatia Tanzania msaada wa Euro 626 milioni sawa na Sh1.4 trilioni kwa ajili ya kuboresha miradi ya maendeleo na utawala bora katika kipindi cha miaka sita.

 

11 years ago

Mwananchi

WB yaipa somo la gesi Tanzania

Benki ya Dunia imetoa somo la gesi kwa Watanzania kwa kuwataka kuzalisha rasilimali hiyo kwa viwango vya kimataifa huku kampuni zitakazoisambaza zukishauriwa kuwa na uwezo wa kutosha.

 

10 years ago

GPL

Yanga yaipa masharti 5 TFF

Wachezaji wa Yanga. Nicodemus Jonas,
Dar es SalaamKAMA ulidhani walikuwa wanatania, ndiyo ufahamu kuwa jamaa walikuwa ‘serious’! Siku chache baada ya uongozi wa Yanga kuhoji kuhusu kanuni iliyompitisha straika wa Simba, Ibrahim Ajibu kucheza kwenye mchezo wa Prisons wakati akiwa ana kadi tatu za njano, uongozi huo umekwenda mbali na kuilima Shirikisho la Soka nchini (TFF) barua ya masharti matano kuhusu maamuzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani