Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge hili lina nini kipya?

Safari ya kuingia kwenye Mchakato wa Katiba Mpya ilionekana kupokelewa kwa furaha kubwa na Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge hili Watanzania wamewakosea nini?

TUNATAKA kufahamu, kujua, kuelewa, kufahamishwa, kuelimishwa bila ya kufichwa kutokana na kuona mambo mazito kama hayo yakienda ndivyo sivyo ndani ya Bunge Maalumu la Katiba. Mchakato huu wa kuelekea kwenye...

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii wa kizazi kipya mnalijua hili?

Unashangaa msanii anatoa wimbo mkali, unakonga nyoyo za mashabiki na kuombwa katika kila kituo cha televisheni na redio lakini ndani ya miezi miwili mitatu unapotea ghafla bila kuaga.

 

11 years ago

Habarileo

Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?

Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba hili

Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Florens Turuka akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba jana. (Picha na Mroki Mroki).RAIS Jakaya Kikwete ametangaza wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba kwa mujibu wa sheria, huku akiwajumuisha watu mbalimbali wenye umaarufu katika jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hili Bunge la Katiba limeamua kuchepuka?

EBO! Nyie mlidhani michepuko ni kwenye yale mambo ya nyumba kubwa kwenda nyumba ndogo tu sio eh? Naapa siku hizi kila idara na kila sekta ina michepuko yake. Mnabisha hata...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni kumwonea Nyalandu kwa hili la Bunge

Desemba 20, 2013, nchi ilitikisika baada ya kujiuzulu kwa mawaziri wanne walioguswa na ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge hili ni kama sikio la kufa

Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipoanza kikao chao mjini Dodoma mwezi uliopita kwa kumchagua mwenyekiti wa muda ili kuongoza Semina ya Kutunga Kanuni za Bunge hilo, tulishuhudia wakifanya vitimbi na vitendo ambavyo hakika vililidhalilisha Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani