Bunge hili ni kama sikio la kufa
Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipoanza kikao chao mjini Dodoma mwezi uliopita kwa kumchagua mwenyekiti wa muda ili kuongoza Semina ya Kutunga Kanuni za Bunge hilo, tulishuhudia wakifanya vitimbi na vitendo ambavyo hakika vililidhalilisha Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFLLf2sWG7u37IwBcn56sz3JqMBKjzysdAe8x4MZuOXtHkxcyQllhn4OEe-a1sMkMR**9tUNP7OZZkLuCOWlebX/aunty.jpg)
AUNT: SIKIO LA KUFA!
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Simba sikio la kufa
TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2y4OIb6Wke8X0pjbtPN4B-o0Qmd5beTGsuu1LoFU2ZS180jwpjt09NOICufrkXJVjL4Oop0Dgb5ExqBumcxyHe/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE SIKIO LA KUFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMaVygueAjZtYD7inQFcrl95K29RYuiudAMpq4uWfOzQOODXlOYLUg-HOz8lk7k2VDK9JM3Kp7m28XOC8zOxlHar/mwanza.jpg)
UWANJA WA NDEGE MWANZA SIKIO LA KUFA
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Zitto ni sikio la kufa lisilosikia dawa?
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Tumechoka kweli, sikio la kufa lisikie dawa sasa
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
JK: Njoo, kama kufa tufe pamoja
RAIS Jakaya Kikwete ana aibu? Ana woga? Ana hasira? Ana kiwewe? Ana nini? Anataka kusema nini leo ambacho hawezi kukisema bila marais na mawaziri wakuu waliopita kuwa karibu naye? Leo...
10 years ago
Bongo Movies01 May
Kama Umeguswa na Hili, Wasiliana na Natasha
Niko na mashoga zangu Jangwani Sekondari.kuna wanafunzi zaidi ya 70 wenye ulemavu na wana tatizo la miundo mbinu hasa linapokuja suala la choo na njia ya kwenda maktaba.ndugu zangu wa SVF wamejutolea kujenga choo na hiyo njia.kama nawe unaguswa tuwasiliane ili kwa pamoja tuwarahisishie maisha warembo wetu hawa.
Wote wana ndoto zao.baadhi wanataka kuwa waigizaji.hebu kuwa mmoja wao wa kutimiza ndoto zao.
Na: Natasha on Instagram