Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UWANJA WA NDEGE MWANZA SIKIO LA KUFA

Stori: Mwandishi wetu
Katika gazeti hili toleo namba 1151 la Septemba 27-30, 2014 kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho; ‘UGAIDI BONGO’ AL-SHABAAB WATAKAVYOTUMIA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA KUTEKA NDEGE. Uwanja wa ndege wa Mwanza. Lengo la habari hiyo lilikuwa ni kuonyesha hatari iliyopo kwa kutoa mwanya kwa magaidi kufanya uhalifu kupitia mlango ambao hauna umuhimu. Hata hivyo, licha ya habari hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Simba sikio la kufa

3TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...

 

10 years ago

GPL

AUNT: SIKIO LA KUFA!

Stori: Musa Mateja
LICHA ya kushauriwa na daktari kuhusu kutulia na kutovaa viatu virefu kutokana na ujauzito, mwigizaji Aunt Ezekiel ameonekana kuwa ni sikio la kufa kwani ameendelea kuvaa kama kawaida.Aunt aliendeleza ubishi huo Jumatano iliyopita mjini Dodoma alipokuwa amekwenda katika Pati ya Good Bye 2014 iliyoandaliwa na Kampuni ya Endless Fame ambapo mashabiki walimshuhudia Aunt akiwa amevaa kigauni kifupi pamoja na...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE SIKIO LA KUFA

STAA wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedhihirisha kuwa ni sikio la kufa baada ya kusema yeye ni miongoni mwa wanawake wanaojua  kuchuna mabuzi. Kauli hiyo imechochea vigezo vya kumfanya Shilole aonekane hasikii kwani wiki kadhaa zilizopita mchungaji wa kanisa moja lililopo Ubungo, jijini Dar ambaye hakujulikana jina lake, alimtaka kuishi katika sura ya kumpendeza Mungu lakini inaonekana amempuuza....

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL, Uwanja wa Ndege Mwanza vilivyotishia bajeti ya uchukuzi

Matatizo yanayolikabili Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na kususuasua kwa ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Mwanza, ni miongoni mwa mambo yaliyotishia kukwamisha makadirio ya matumizi ya Wizara ya Uchukuzi, bungeni juzi.

 

11 years ago

GPL

UGAIDI BONGO: AL-SHABAAB WATAKAVYOTUMIA UWANJA WA MWANZA KUTEKA NDEGE

Stori: Mwandishi Wetu
HATARI! Uwanja wa Ndege wa Mwanza si salama na unaweza kutumiwa na magaidi kama Al-Shabaab kuteka ndege na kuua watu  wakati  wowote, Risasi Jumamosi lina ushahidi mzito. Jengo la Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Upelelezi wa kina uliofanywa na gazeti hili bila kujulikana katika operesheni maalum iliyopewa jina la ‘HAKIKISHA NCHI SALAMA’,… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa kuhusu tatizo la umeme katika uwanja wa ndege wa Mwanza

Mwanza-aa

Kufuatia tatizo la kiufundi la umeme katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambalo lilisababisha ndege za kampuni ya Fastjet kukatisha safari zake zote za usiku kuepuka kuhatarisha maisha ya abiria na wafanyakazi, tunapenda kuwashukuru wateja wetu wote kwa ushirikiano wao na uvumilivu waliotuonyesha na tunawaomba wawasiliane nasi ili kupata maelezo zaidi juu ya safari zao.

Wakati mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania ikiendelea kufanya juhudi za kutatua tatizo hili,  safari zetu za usiku za...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge hili ni kama sikio la kufa

Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipoanza kikao chao mjini Dodoma mwezi uliopita kwa kumchagua mwenyekiti wa muda ili kuongoza Semina ya Kutunga Kanuni za Bunge hilo, tulishuhudia wakifanya vitimbi na vitendo ambavyo hakika vililidhalilisha Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ni sikio la kufa lisilosikia dawa?

Tangu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe na Mjumbe wa Kamati kuu, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba kuvuliwa nyadhifa zao, kumekuwa na mijadala mingi kwenye vyombo vya habari.

 

11 years ago

Mwananchi

Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa

Ukiombwa utoe sababu kwa nini michezo nchini imeshindwa kuleta tija hasa katika eneo la kimataifa, bila shaka kapu kubwa litahitajika ili kujaza sababu hizo kutokana na ukweli kwamba ziko nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani