UWANJA WA NDEGE MWANZA SIKIO LA KUFA

Stori: Mwandishi wetu Katika gazeti hili toleo namba 1151 la Septemba 27-30, 2014 kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho; ‘UGAIDI BONGO’ AL-SHABAAB WATAKAVYOTUMIA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA KUTEKA NDEGE. Uwanja wa ndege wa Mwanza. Lengo la habari hiyo lilikuwa ni kuonyesha hatari iliyopo kwa kutoa mwanya kwa magaidi kufanya uhalifu kupitia mlango ambao hauna umuhimu. Hata hivyo, licha ya habari hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Simba sikio la kufa
TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...
10 years ago
GPL
AUNT: SIKIO LA KUFA!
11 years ago
GPL
SHILOLE SIKIO LA KUFA
11 years ago
Mwananchi28 May
ATCL, Uwanja wa Ndege Mwanza vilivyotishia bajeti ya uchukuzi
11 years ago
GPL
UGAIDI BONGO: AL-SHABAAB WATAKAVYOTUMIA UWANJA WA MWANZA KUTEKA NDEGE
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Taarifa kuhusu tatizo la umeme katika uwanja wa ndege wa Mwanza
Kufuatia tatizo la kiufundi la umeme katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambalo lilisababisha ndege za kampuni ya Fastjet kukatisha safari zake zote za usiku kuepuka kuhatarisha maisha ya abiria na wafanyakazi, tunapenda kuwashukuru wateja wetu wote kwa ushirikiano wao na uvumilivu waliotuonyesha na tunawaomba wawasiliane nasi ili kupata maelezo zaidi juu ya safari zao.
Wakati mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania ikiendelea kufanya juhudi za kutatua tatizo hili, safari zetu za usiku za...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Bunge hili ni kama sikio la kufa
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Zitto ni sikio la kufa lisilosikia dawa?
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa