Simba sikio la kufa
TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2y4OIb6Wke8X0pjbtPN4B-o0Qmd5beTGsuu1LoFU2ZS180jwpjt09NOICufrkXJVjL4Oop0Dgb5ExqBumcxyHe/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE SIKIO LA KUFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFLLf2sWG7u37IwBcn56sz3JqMBKjzysdAe8x4MZuOXtHkxcyQllhn4OEe-a1sMkMR**9tUNP7OZZkLuCOWlebX/aunty.jpg)
AUNT: SIKIO LA KUFA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMaVygueAjZtYD7inQFcrl95K29RYuiudAMpq4uWfOzQOODXlOYLUg-HOz8lk7k2VDK9JM3Kp7m28XOC8zOxlHar/mwanza.jpg)
UWANJA WA NDEGE MWANZA SIKIO LA KUFA
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Zitto ni sikio la kufa lisilosikia dawa?
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Bunge hili ni kama sikio la kufa
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Tumechoka kweli, sikio la kufa lisikie dawa sasa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxz9VX5xBsRGjnxuHE3DqoLEzhPNiLO4w9-fMwnObp-QJQMcDunbuunDNrVis*o2VoEn3ETzGvNfTMrGcfjqfzhv/1655.jpg?width=650)
SIKIO LA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBCNptgFW2TRQQW*PQ-V34HjDjbnT3CXqLC*Vc2Yg*Wp61dc7LPoKNlqzxA0T40Jsbois3NxifnClfnZXI1Z3Ky/MAMAWEMA.jpg?width=650)
DIAMOND, SIKIO HALIZIDI KICHWA!