DIAMOND, SIKIO HALIZIDI KICHWA!
![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBCNptgFW2TRQQW*PQ-V34HjDjbnT3CXqLC*Vc2Yg*Wp61dc7LPoKNlqzxA0T40Jsbois3NxifnClfnZXI1Z3Ky/MAMAWEMA.jpg?width=650)
PAMOJA na kazi yake nzuri kabisa ya kusikia, inayomfanya binadamu afanye mambo yake vizuri katika kufanikisha maisha yake, bado sikio ni kiungo kidogo tu kilicho ndani ya kichwa, kiwe cha binadamu au mnyama mwingine. Licha ya kwamba viungo vyote ndani ya mwili ni muhimu, lakini vipo ambavyo ni muhimu zaidi, kama ilivyo sikio kwa binadamu. Hata hivyo, umuhimu huo haukipi kiungo hicho ukubwa wa kukizidi kichwa kwani chenyewe,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxz9VX5xBsRGjnxuHE3DqoLEzhPNiLO4w9-fMwnObp-QJQMcDunbuunDNrVis*o2VoEn3ETzGvNfTMrGcfjqfzhv/1655.jpg?width=650)
SIKIO LA...
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Simba sikio la kufa
TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFLLf2sWG7u37IwBcn56sz3JqMBKjzysdAe8x4MZuOXtHkxcyQllhn4OEe-a1sMkMR**9tUNP7OZZkLuCOWlebX/aunty.jpg)
AUNT: SIKIO LA KUFA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2y4OIb6Wke8X0pjbtPN4B-o0Qmd5beTGsuu1LoFU2ZS180jwpjt09NOICufrkXJVjL4Oop0Dgb5ExqBumcxyHe/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE SIKIO LA KUFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8exrISraOMnFU7I*vAMach3Mep8EVfXch824Hp-PrS2zQpoox*F0MuA-JUlQSCv6ic0DPEXUbeIj0Gn2Gq2nwK/goma.jpg?width=600)
Gomaa amuuma sikio Pluijm
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQkSn2rNf*i*SJMkgQwdZt1uaNND0Q0vrlYSkseZKTtleG7niIvnTowc*hVC68S1f*i5fXNX3LTye1nV9bUWkas/mke.jpg?width=650)
MKE WA MTU ANYOFOLEWA SIKIO
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Bunge hili ni kama sikio la kufa
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
DK. KAMANI: Wafugaji watarajie sikio sikivu
DK. Titus Kamani, ni Waziri mpya wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambaye amerithi mikoba ya Dk. Mathayo David aliyeng’olewa kwa shinikizo la Bunge kutokana na kutowajibika ipasavyo wakati wa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Jamii yashauriwa kupima afya ya sikio
JAMII imeshauriwa kutembelea vituo vya afya mara kwa mara ili kujua namna ya kujitunza na kujikinga dhidi ya maradhi mbalimbali yanayotokanayo na masikio. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar...