Gomaa amuuma sikio Pluijm

Beki mkongwe wa Al Ahly, Wael Gomaa. BEKI mkongwe wa Al Ahly, Wael Gomaa alimuita pembeni kocha wa Yanga, Hans van Pluijm na kuzungumza naye kwa takribani dakika mbili akimueleza, walikuwa hawana uhakika kama watasonga mbele dhidi ya Yanga. Lakini Gomaa alimueleza kocha huyo kuwa anafurahishwa na uchezaji wa kasi wa kikosi chake na kama wangefanikiwa kuwatoa Al Ahly wangeweza kufika mbali zaidi. Baada ya Championi Jumatano...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC
Al Ahly look to life without Gomaa
11 years ago
GPL
SIKIO LA...
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Simba sikio la kufa
TIMU ya soka Simba jana ilishindwa kutamba mbele ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), huku beki Nassor Masoud ‘Chollo’ akikosa penalti dakika za majeruhi.
Simba ni kama sikio la kufa lisilosikia dawa, kwani licha ya kumtimua Mzambia Patrick Phiri kwa kuonekana mzigo na kuwa na kocha mpya Msebia, Goran Kuponovic, lakini suala hilo si tiba kwa timu hiyo yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi,...
10 years ago
GPL
AUNT: SIKIO LA KUFA!
11 years ago
GPL
SHILOLE SIKIO LA KUFA
11 years ago
GPL
MKE WA MTU ANYOFOLEWA SIKIO
11 years ago
GPL
DIAMOND, SIKIO HALIZIDI KICHWA!
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Bunge hili ni kama sikio la kufa
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Zitto ni sikio la kufa lisilosikia dawa?