Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama Umeguswa na Hili, Wasiliana na Natasha

Niko na mashoga zangu Jangwani Sekondari.kuna wanafunzi zaidi ya 70 wenye ulemavu na wana tatizo la miundo mbinu hasa linapokuja suala la choo na njia ya kwenda maktaba.ndugu zangu wa SVF wamejutolea kujenga choo na hiyo njia.kama nawe unaguswa tuwasiliane ili kwa pamoja tuwarahisishie maisha warembo wetu hawa.

Wote wana ndoto zao.baadhi wanataka kuwa waigizaji.hebu kuwa mmoja wao wa kutimiza ndoto zao.

Na: Natasha on Instagram

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY


http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge hili ni kama sikio la kufa

Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipoanza kikao chao mjini Dodoma mwezi uliopita kwa kumchagua mwenyekiti wa muda ili kuongoza Semina ya Kutunga Kanuni za Bunge hilo, tulishuhudia wakifanya vitimbi na vitendo ambavyo hakika vililidhalilisha Bunge.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako

"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri 

Monalisa on Instagram

 

9 years ago

MillardAyo

Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta…

Bado headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuandikwa kila siku. Kwa sasa Mbwana Samatta anakaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwani kinachosubiriwa kwa sasa ni kuafikiana na ada ya uhamisho wa mshambuliaji huyo. Klabu ya TP […]

The post Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta… appeared first on...

 

9 years ago

Vijimambo

PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.



Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?

 

10 years ago

Vijimambo

STREET PASTOR A WASILIANA MJINI WASHINGTON DC.

Street pastor au mchungaji mtarajiwa Emmanuel Mgaya au Masanja Mkandamizaji amewasili jijini Washington DC nchini Marekani leo mida ya asubuhi tayari kwa ajili ya kuhubiri neno la Mungu katika mkutano wa injili unaotarajiwa kuanza kesho katika kanisa la The Way of The Cross Gospel Ministries. Masanja alipokelewa na wenyeji wake ambao ni Pastor Ferdinand Shideko na Samuel Malonja ambae ni music director katikati kanisa hilo, angalia picha kuona tukio la kuwasili kwake.

 

10 years ago

Bongo5

Umemaliza chuo na kujiajiri kutumia ujuzi ulioupata? Wasiliana nasi, tutakupa shout outs kwenye website

Kila mwaka vyuo vikuu na vyuo vingine nchini vinazalisha wahitimu wengi katika fani mbalimbali ambao baada ya kumaliza wanakumbana na changamoto kubwa ya kupata ajira. Kwakuwa ajira ni chache, vijana wengine wamejikuta wakihangaika kutafuta kazi bila mafanikio. Hata hivyo vijana hao wana uwezo wa kukaa chini na kufikiria miradi yao wenyewe ambayo inaweza kuwaingizia kipato […]

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 5

WIKI iliyopita tuliishia pale tulipofika rasmi nchini Angola. Tulikuwa tukiifikiria tofauti nchi hiyo tukiamini kwamba ni nchi isiyokuwa na amani.
SASA  ENDELEA… Sasa nakupa mtazamo wangu nilipofika Luanda, ambao ni mji mkuu wa Angola.  Kwanza ni amani tupu wala huwezi jua kama kuna mtu anatumia risasi mahali fulani ili aishi.Rais ni Eduardo dos Santos, ni nchi nzuri iliyotawaliwa na majengo mengi ya ghorofa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani