Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STREET PASTOR A WASILIANA MJINI WASHINGTON DC.

Street pastor au mchungaji mtarajiwa Emmanuel Mgaya au Masanja Mkandamizaji amewasili jijini Washington DC nchini Marekani leo mida ya asubuhi tayari kwa ajili ya kuhubiri neno la Mungu katika mkutano wa injili unaotarajiwa kuanza kesho katika kanisa la The Way of The Cross Gospel Ministries. Masanja alipokelewa na wenyeji wake ambao ni Pastor Ferdinand Shideko na Samuel Malonja ambae ni music director katikati kanisa hilo, angalia picha kuona tukio la kuwasili kwake.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

STREET PASTOR A TEMBEA VOICE OF AMERICA

Street pastor Emmanuel Mgaya au Masanja Mkandamizaji ambae ni mgeni na mhubiri katika mkutano wa neno la Mungu ulioanza jana katika kanisa la The Way of The Cross Gospel Ministries jana Jumamosi alipata nafasi ya kutembelea Voice of America ambapo alifanyiwa mahojiano na watangazaji mahiri wa radio hiyo ya kimataifa mahojiano ambayo yalikuwa yakisikika moja kwa moja katika ukanda wa nchi za afrika zinazozungumza kiswalihi. Katika picha Masanja anaonekana akiwa na mwenyeji wake mchungaji...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa kundi la Afrika wafanyika mjini Washington DC

Shirika la fedha la kimataifa (IMF) hujishughulisha na kutoa ushauri wa kisera kwa nchi wanachama na kutoa mikopo na misaada ya kifedha. Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum aliyaeleza hayo mjini hapa. 
Akishiriki kikao cha kundi la Africa(African Group one Constituency). Kundi hili hukutana kila kunapokuwa na mikutano ya Shirika la Fedha la Kimataifa na Benki ya Dunia kwa lengo la kuwezesha nchi za Afrika kuwa na sauti moja na kujua hatua ambazo Nchi za Afrika zimefikia kuhusiana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC

 

DSC_5014

Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier,  akipata maelezo kutoka kwa Bw. Said Ngosha Magonya, ambaye ni  Kamishina wa Fedha za Nje kuhusu utaratibu uliopangwa na Tanzania katika Mikutano hii ya majira ya kipupwe.

Mikutano ya majira ya  Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka serikalini, waandishi wa habari, Mashirika na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mikutano ya Majira Kipupwe imeanza rasmi Mjini Washington DC.

Mikutano ya majira ya  Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka serikalini, waandishi wa habari, Mashirika na Taasisi zisizo za kiserikali, Sekta binafsi pamoja na kamati za kifedha.Taasisi hizo kwa pamoja zitajadili maendeleo ya kazi za Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa.


Tanzania ni nchi wanachama katika Mikutano hiyo.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya  ndiye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya Dunia na IMF yaanza mikutano ya mwaka mjini Washington DC — Marekani

DSCN0840

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Bw.Herve’ Joly ambaye ni Mkurugenzi   msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki. Mara baada tu ya kuingia ukumbini.

DSCN0846

Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha  na Mlipaji Mkuu wa serikali  akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania. Kutoka kushoto ni Kamishna wa Bajeti Bw.John Cheyo akifuatiwa na Bi.Mwanaidi  Mtanda ambaye ni mhasibu mkuu wa Serikali na wa mwisho...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA NA IMF YAANZA MIKUTANO YA MWAKA MJINI WASHINGTON DC - MAREKANI

Kila mwaka Bodi ya Magavana ya Shirika la Fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia hukutana kwa ajili ya kujadili kazi za Taasisi zinazowahusu. Mikutano hii imeanza tarehe 06 Octoba na itafikia kilele chake hapo tarehe 13, mwezi Octoba, 2014.Mikutano hii hufanyika mjini Washington DC kwa miaka miwili mfululizo na kwa mwaka wa tatu hufanyika kwa nchi mwanachama.  Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ndiye kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI MIKUTANO YA MAJIRA YA KIPUPWE ULIOANZA RASMI MJINI WASHINGTON DC

 Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier,  akipata maelezo kutoka kwa Bw. Said Ngosha Magonya, ambaye ni  Kamishina wa Fedha za Nje kuhusu utaratibu uliopangwa na Tanzania katika Mikutano hii ya majira ya kipupwe.
Mikutano ya Majira  Kipupwe imeanza rasmi  Mjini Washington DC. Mikutano ya majira ya  Kipupwe imeanza rasmi tarehe 14/4/2015 na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali wanachama zaidi ya 188. 
Mikutano hii huudhuriwa na maelfu ya...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BW. MAYANK BHARGAVA NA BW. PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC


 Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.  Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhomgo akifanya mazungumuzo na Mr....

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Umeguswa na Hili, Wasiliana na Natasha

Niko na mashoga zangu Jangwani Sekondari.kuna wanafunzi zaidi ya 70 wenye ulemavu na wana tatizo la miundo mbinu hasa linapokuja suala la choo na njia ya kwenda maktaba.ndugu zangu wa SVF wamejutolea kujenga choo na hiyo njia.kama nawe unaguswa tuwasiliane ili kwa pamoja tuwarahisishie maisha warembo wetu hawa.

Wote wana ndoto zao.baadhi wanataka kuwa waigizaji.hebu kuwa mmoja wao wa kutimiza ndoto zao.

Na: Natasha on Instagram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani