Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kutoa Azimio la Mandela

KUTOKANA na kifo cha Rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Bunge la Tanzania leo litatoa maazimio ya kumsifu na kumpongeza, kutokana na ukombozi wa bara la Afrika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bunge latoa Azimio

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Edward LowassaBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juzi lilisitisha shughuli zake na kutoa Azimio kutokana na kifo cha Mandela, kwa kumuenzi kwa kudumisha umoja, amani, mshikamano ili kuleta maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge laridhia Azimio la SADC

Mwigulu NchembaWATANZANIA wengi wataweza kufanya biashara na kuwekeza katika nchi za Kusini mwa Afrika kuanzia sasa.

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.

Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...

 

5 years ago

CCM Blog

WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela

Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani