Bunge la Katiba kuanza kazi rasmi leo
Wakati Bunge la Katiba leo linaanza kujadili sura mbili za Rasimu ya Katiba ambazo zitalenga Muundo wa Muungano, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umewataka wajumbe wake kutokuondoka Dodoma hadi kumaliza kujadili sura hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]
11 years ago
Habarileo18 Feb
Bunge la Katiba kuanza leo
HISTORIA ya nchi imeandikwa leo kwa Bunge Maalumu la Katiba kuanza mkutano wake huku mchakato wa kupata Mwenyekiti wa Bunge hilo, ukiwa umetangazwa kutoa nafasi kwa wajumbe wenye sifa kuingia kwenye kinyang’anyiro.
11 years ago
Michuzi
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo

BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
11 years ago
Michuzi.jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Sep
Funga kazi Bunge la Katiba leo
11 years ago
Mwananchi17 Sep
Kesi Bunge la Katiba kunguruma rasmi leo
11 years ago
Dewji Blog02 Oct
Bunge Maalum la Katiba lavunjwa rasmi leo mjini Dodoma
Makamu wa Pili wa Zanzibar ambaye pia alikuwa ni mjumbe wa Buge Maalum la Katiba, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akitoa neno la shukurani kwa wajumbe wa Bunge la Katiba na uongozi wao pamoja na uongozi wa nchi kabla ya bunge hilo kuvunjwa rasmi leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Tanzania ambaye pia alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,...
11 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Kamati za Bunge zaanza kazi rasmi