Kamati za Bunge zaanza kazi rasmi
Kamati za Kudumu za Bunge zinatarajiwa kuanza kukutana na kutekeleza majukumu ya kibunge jijini Dar es Salaam kuanzia Jumanne ijayo, huku ratiba zake zikionyesha kuwa mambo yenye mvutano mkali kwa sasa yatajadiliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QcaYMABiclk/U0Vp5elv8ZI/AAAAAAAFZh8/FUKuTS2X4cI/s72-c/unnamed+(50).jpg)
kamati za bunge maalum la katiba zaanza kukabidhi ripoti
![](http://1.bp.blogspot.com/-QcaYMABiclk/U0Vp5elv8ZI/AAAAAAAFZh8/FUKuTS2X4cI/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nswXbWOCT6U/U0VojxPNmlI/AAAAAAAFZhg/4mFy2En4i0o/s1600/unnamed+(48).jpg)
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Bunge la Katiba kuanza kazi rasmi leo
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
11 years ago
Dewji Blog26 Apr
Kamati za Bunge kuanza kazi Jumatatu tarehe 28 Aprili 2014 Jijini Dar Es Salaam
Afisa Habari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Owen Mwandumbya akielezea kuhusu kufanyika kwa vikao vya Kamati za Bunge vinavyotarajia kuanza tarehe 28 Aprili hadi 4 Mei, 2014, Jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza Mkutano wa Bunge wa Bajeti tarehe 6 Mei, 2014.(Picha na Tiganya Vincent-BMK-Dodoma).
Press Release – Kuanza Kamati April 28, 2014 by moblog
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KASHFA YA ESCROW ZAMNG’OA CHENGE RASMI...ATANGAZA KUACHIA NAFASI YA UWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI
![PIX 3.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/PIX-3.-1024x780.jpg)
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JGYFP0Am2tQ/Xre5TKXWmUI/AAAAAAALpps/eMFRi6ATNIwLNeiLo1ZEMzvvhPzN95gxgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
OFISI ZA ARDHI ZAANZA RASMI KILA MKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JGYFP0Am2tQ/Xre5TKXWmUI/AAAAAAALpps/eMFRi6ATNIwLNeiLo1ZEMzvvhPzN95gxgCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Katavi wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-6.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Tanga wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-4.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Njombe wakiwa wamesimama katika Bango la kutambulisha ofisi ya mkoa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-4.jpg)
Watendaji wa sekta ya ardhi katika ofisi ya Ardhi ya mkoa wa Iringa wakiwa wamesimama katika...
10 years ago
GPLBAADA YA TAMKO LA WAZIRI DALADALA JIJINI DAR ZAANZA KAZI