Bunge la Katiba laelezwa elimu isiwe sifa ya ubunge
MBUNGE wa Mtera Livingstone Lusinde ametetea hoja za wabunge wanaotaka sifa ya kugombea ubunge iwe kujua kusoma na kuandika, kwa maelezo kuwa asilimia kubwa ya wananchi wengi wa Tanzania hawakupata elimu ya sekondari hivyo katiba haifai kuwabagua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Wataja sifa za Mwenyekiti Bunge la Katiba
MBUNGE wa Kahama, James Lembeli, amesema Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba anatakiwa kuwa ni mtu mwenye uadilifu na asiyekuwa na makundi. Akizungumza na Tanzania Daima juzi kwa njia ya...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wajumbe Bunge la Katiba wawe na sifa
10 years ago
Habarileo27 Nov
Bunge laelezwa ‘magunia’ yalivyobeba fedha IPTL
WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Lissu: Wajumbe wa Bunge la Katiba hawana sifa
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioteuliwa hivi karibuni wengi wao hawana sifa ya kuingia katika bunge hilo. Akizungumza na Tanzania Daima kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Elimu yahitajika baada ya Bunge Maalum la Katiba
BUNGE Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kwa wingi wa kura za ndiyo za Wajumbe wa Bunge hilo, Rais Jakaya Kikwete atakabidhiwa rasimu hiyo ambayo ni Katiba Inayopendekezwa....
11 years ago
Mwananchi13 May
Laiti fedha za Bunge la Katiba zigetumika katika sekta ya elimu...
11 years ago
Habarileo03 Feb
Katiba mpya isiwe ugomvi
RAIS Jakaya Kikwete amesema Katiba mpya haitapatikana kwa ngumi na mateke na wala si ugomvi, bali itapatikana kwa ushawishi wa hoja na kura.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1H4vlKMMOiYltvoj*iUMlPi60luCO2mhxiuYGWMUHJJRWTtKT-OOWiIBLzP4Os2sLhGGdnQvTLvJZObYDglKN4/PresidentJakayaKikwete26.jpg?width=650)
WATAKA KATIBA ISIWE CHANZO CHA MGOGORO