Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge laelezwa ‘magunia’ yalivyobeba fedha IPTL

Wabunge wakifuatilia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba laelezwa elimu isiwe sifa ya ubunge

Livingstone LusindeMBUNGE wa Mtera Livingstone Lusinde ametetea hoja za wabunge wanaotaka sifa ya kugombea ubunge iwe kujua kusoma na kuandika, kwa maelezo kuwa asilimia kubwa ya wananchi wengi wa Tanzania hawakupata elimu ya sekondari hivyo katiba haifai kuwabagua.

 

11 years ago

Mwananchi

Fedha za IPTL kaa la moto

>Tuhuma za ufisadi wa zaidi ya Sh200 bilioni katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonekana kuwa kaa la moto na jana zilitikisa Bunge na kuibua mvutano mkali.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL

Rais Jakaya Kikwete amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow hazikuwa zinafikia Sh306 bilioni, bali ni Sh202 bilioni na zilikuwa mali ya Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

10 years ago

Mtanzania

Fedha za IPTL zilizotafunwa ni Sh bilioni 321

Benki Kuu ya Tanzania

Benki Kuu ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu ukaguzi wa Akunti ya Tegeta Escrow na umiliki wa Kampuni ya IPTL iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa wiki, imewaweka kitanzini vigogo wa serikali baada ya kubaini fedha zilizokuwa kwenye akaunti hiyo ni Sh bilioni 306 na zilitakiwa kurudishwa Tanesco.

Vyombo vya habari vilipoanza kuripoti uchotwaji wa fedha hizo Machi mwaka huu, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...

 

10 years ago

Tanzania Daima

IPTL kutikisa Bunge

HATIMAYE sakata lililosumbua Bunge lililopita na kuzungumziwa nje ya Bunge kuhusu ufisadi wa fedha zaidi ya sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow, ripoti yake imekamilika na imefikishwa kwa Katibu...

 

10 years ago

Daily News

IPTL challenging Bunge resolutions


IPPmedia
IPTL challenging Bunge resolutions
Daily News
INDEPENDENT Power Tanzania Limited (IPTL) and two other petitioners yesterday maintained that their case against implementation of Parliamentary resolutions on the Escrow account saga remains valid, notwithstanding President Jakaya Kikwete's ...
Hearing of IPTL injunction petition begins todayIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Daily News

Bunge to dcuss IPTL saga for two days


Daily News
Bunge to dcuss IPTL saga for two days
Daily News
TIME for leglators to dcuss the Controller and Auditor General's (CAG) report on the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) Tegeta escrow account matter has been increased from one to two days. Sources from among various Parliamentary Committees ...
Parliamentary handling of escrow issue will amplify constitutional balancesIPPmedia

all 5

 

10 years ago

TheCitizen

Bunge to debate IPTL probe reports

Parliament will debate two investigation reports on the $122 million (Sh207 billion) Independent Power Tanzania Limited (IPTL) controversy during its ongoing sitting, The Citizen has learnt.

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani