Bunge laelezwa ‘magunia’ yalivyobeba fedha IPTL
WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Sep
Bunge la Katiba laelezwa elimu isiwe sifa ya ubunge
MBUNGE wa Mtera Livingstone Lusinde ametetea hoja za wabunge wanaotaka sifa ya kugombea ubunge iwe kujua kusoma na kuandika, kwa maelezo kuwa asilimia kubwa ya wananchi wengi wa Tanzania hawakupata elimu ya sekondari hivyo katiba haifai kuwabagua.
11 years ago
Mwananchi10 May
Fedha za IPTL kaa la moto
10 years ago
Mwananchi23 Dec
JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL
10 years ago
Mtanzania17 Nov
Fedha za IPTL zilizotafunwa ni Sh bilioni 321
![Benki Kuu ya Tanzania](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Bank-of-Tanzania.jpg)
Benki Kuu ya Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu ukaguzi wa Akunti ya Tegeta Escrow na umiliki wa Kampuni ya IPTL iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa wiki, imewaweka kitanzini vigogo wa serikali baada ya kubaini fedha zilizokuwa kwenye akaunti hiyo ni Sh bilioni 306 na zilitakiwa kurudishwa Tanesco.
Vyombo vya habari vilipoanza kuripoti uchotwaji wa fedha hizo Machi mwaka huu, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
IPTL kutikisa Bunge
HATIMAYE sakata lililosumbua Bunge lililopita na kuzungumziwa nje ya Bunge kuhusu ufisadi wa fedha zaidi ya sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow, ripoti yake imekamilika na imefikishwa kwa Katibu...
10 years ago
Daily News24 Dec
IPTL challenging Bunge resolutions
IPPmedia
Daily News
INDEPENDENT Power Tanzania Limited (IPTL) and two other petitioners yesterday maintained that their case against implementation of Parliamentary resolutions on the Escrow account saga remains valid, notwithstanding President Jakaya Kikwete's ...
Hearing of IPTL injunction petition begins todayIPPmedia
all 2
10 years ago
Daily News23 Nov
Bunge to dcuss IPTL saga for two days
Daily News
Daily News
TIME for leglators to dcuss the Controller and Auditor General's (CAG) report on the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) Tegeta escrow account matter has been increased from one to two days. Sources from among various Parliamentary Committees ...
Parliamentary handling of escrow issue will amplify constitutional balancesIPPmedia
all 5
10 years ago
TheCitizen06 Nov
Bunge to debate IPTL probe reports
10 years ago
Vijimambo26 Nov
IPTL:Huku Bunge kule Mahakama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTaPsYAbw26FWfSZT*rN0lA-1JPHxa2gMr4BAY*W61v5DOS0tg7VagxhmkDaqfydziFlFHlLXx7SV-eqLsUkS7SX/11.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTbo7rqJRwtrVZOFWQctoB9razUwvCmPJPBKFvHlwzkXOyBcj2a1fNS-5o9xhqvH1lQNG6K4NPrngDBK8B4gYg93/6.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTY*whhgWrbWm09lsnOmtK4kXOlarHrh4*39GMmXak9aqd5sUqEfMk3YXeCwbht5WgoEyR5X3RzwmqsN1GxOILRj/2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTZtqGeUXNrJOEm9W*hnkmJtOyow3lUbQ*Kubk0i0q8ryAtU9cHSgjlQp98qSvqp0dc4E*Q*k3EAmLl280Efqnx-/3.jpg?width=650)
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...