Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL kutikisa Bunge

HATIMAYE sakata lililosumbua Bunge lililopita na kuzungumziwa nje ya Bunge kuhusu ufisadi wa fedha zaidi ya sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow, ripoti yake imekamilika na imefikishwa kwa Katibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mjadala mkali kutikisa bunge


NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum,  na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi mpya kutikisa Bunge

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kesho itawasha moto upya bungeni wakati itakaposoma ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikitarajiwa kuibua kashfa tatu nzito ikiwamo ya misamaha ya kodi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja nane kutikisa Bunge leo

MBIVU na mbichi za bajeti ya mwaka 2014/2015 ya sh trilioni 19.8, inatarajia kujulikana leo wakati Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya Salum, atakapohitimisha hoja hiyo baada ya mjadala...

 

10 years ago

Mtanzania

Hatima madeni ya Serikali kutikisa Bunge

Bunge

Bunge

Na Bakari Kimwanga, Dodoma

MJADALA kuhusu azimio la kuliomba liidhinishe kufutwa au kusamehe hasara na madeni yaliyotokana na upotevu wa mali na fedha, yenye thamani ya Sh bilioni 10.8, unatarajiwa kulitikisa Bunge leo.

Hatua hiyo inatokana na mvutano ulioibuka mwishoni mwa wiki iliyopita miongoni mwa wabunge, kundi moja likitaka azimio hilo lipite na wengine wakipinga hatua hiyo wakisema ni sawa na ufisadi.

Hasara hiyo imetokana na sababu mbalimbali ikiwamo wizi na udokozi uliofanywa...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi, ripoti ya Msolla kutikisa Bunge

Spika wa Bunge, Anna Makinda.BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 18, ambao kamati mbalimbali zitaendelea kuwasilisha taarifa kwa ajili ya majadiliano. Licha ya kamati za kisekta na zisizo za kisekta, kabla ya Bunge kuahirishwa wiki hii, pia Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya ardhi, kilimo, mifugo, maji na uwekezaji kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya ardhi, pia itawasilisha taarifa yake.

 

10 years ago

Mtanzania

Mjadala Mahakama ya Kadhi wazidi kutikisa Bunge

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Abdallah Mtutura (CCM), amewataka wajumbe wa Bunge hilo ambao ni Waislamu, washirikiane kuipinga Rasimu ya Katiba kama Mahakama ya Kadhi haitaruhusiwa katika Katiba mpya.

Akichangia sura za nne na 10 za Rasimu ya Katiba bungeni mjini hapa juzi, Mtutura alisema kitendo cha baadhi ya wajumbe kuonyesha dalili za kuipinga mahakama hiyo, hakiwezi kukubalika kwa kuwa ni muhimu kwa Waislamu wanaoiamini.

“Mheshimiwa Makamu...

 

10 years ago

Daily News

IPTL challenging Bunge resolutions


IPPmedia
IPTL challenging Bunge resolutions
Daily News
INDEPENDENT Power Tanzania Limited (IPTL) and two other petitioners yesterday maintained that their case against implementation of Parliamentary resolutions on the Escrow account saga remains valid, notwithstanding President Jakaya Kikwete's ...
Hearing of IPTL injunction petition begins todayIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Habarileo

IPTL, PAP zapinga Bunge mahakamani

Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan AfricaPower Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi. KAMPUNI za Pan Africa Power Solution Tanzania Limited (PAP) na Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Harbinder Singh Sethi, wamefungua kesi ya kikatiba kupinga utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotolewa kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inayodaiwa kuchotwa zaidi ya Sh bilioni 300.

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani