Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BUNGE LA KATIBA, PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BARRICK GOLD TANZANIA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Viongozi wa Kampuni ya Africana  Barrick Gold Tanzania, kwenye makazi yake mjini Dodoma  Machi 25,2014. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Serikali (Director of Government Relations)), Balozi Emmanuel  Ole Naiko, Makamu wa Rais, Deo Mwanyika na Ofisa Mtendaji Mkuu (Chief  Executive Officer ), Brand Gordon. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masere  (kushoto...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini

PIX 1

Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba  akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.

PIX 3

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...

 

5 years ago

Nasdaq

Stock Alert: Barrick Gold Corp. (GOLD) Shares Hit 52-Week High

Stock Alert: Barrick Gold Corp. (GOLD) Shares Hit 52-Week High  Nasdaq

 

11 years ago

TheCitizen

Barrick Gold under fire over killings

Two international NGOs are claiming that excessive force continues to be widely used by police officers who guard the African Barrick Gold’s North Mara Gold Mine.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na viongozi wa Lions Club

PG4A0004

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo  wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9984

PG4A9989

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwashukuru  viongozi wa  Club ya Lions  Clubs International baada ya kutunkiwa  Medali ya juu ya Uongozi ya Club...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BENKI YA BADEA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Fedha Saada Mkuya (wapili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) baada ya mazungumzo kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 16, 2015.Kutoka kushoto ni Abdulrahm Hassan Naq,Abdulrahman Bin Saleh Al-Otaishan na Abdelaziz Khelef. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Benki ya Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) baada ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na viongozi wa benki ya BADEA

PG4A8381

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Benki ya Arab Bank  for Economic Development  in Africa (BADEA) baada ya kukutana nao  kwenye Ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 16, 2015.Kutoka kushoto ni Abdulrahman Bin Saleh Al-Otaishan na Abdelaziz Khelef.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A8386

Waziri wa Fedha Saada Mkuya (kushoto) akiteta na Kiongozi  wa Benki ya Arab Bank  for Economic Development  in Africa (BADEA) , Abdulrahm Hassan Naq baada ya mazungumzo kati ya Waziri Mkuu,...

 

11 years ago

TheCitizen

Barrick Gold accused of illegal money deals

>African Barrick Gold Plc, the Tanzanian subsidiary of Canadian gold company Barrick Gold Corp, has been accused of illegal payments to government officials in the North Mara mine. In the process of buying land near the mine starting last year, African Barrick paid more than $400,000 (Sh670 million) in cash, mostly to Tanzanian government officials and consultants responsible for valuing the land, according to company invoices and copies of cheques reviewed by The Wall Street Journal.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BRITISH AMERICAN TOBACCO

PRIME MINISTER MIZENGO PINDA SPEAKING TO BRITISH AMERICAN TOBACCO OFFICIALS IN HIS OFFICE, DAR ES SALAAM, APRILI 28, 2015. FROM LEFT IS JOHAN VANDERMEULEN REDIONAL DIRECTOR AFRICA, MIDDLE EAST AND EUROPE FOR BRITISH AMERICAN TOBACCO, CHRIS BURREL REGIONAL DIRECTOR EAST AND CENTRAL AFRICA, TEDDY MAPUNDA BOARD MEMBER BRITISH AMERICAN TOBACCO KENYA, ENREST LE ROUX, REGIONAL MANAGER EAST AFRICA AND CONNIE ANYIKA CORPORATE AFFAIRS HEAD EAST AFRICA. PRIME MINISTER, MIZENGO PINDA POSES FOR A GROUP...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani