Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC
Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania limeongeza muda wake na kusitisha vikao vyake mara mbili ili kutafuta muafaka juu ya andikaji wa maazimio yatakayotumiwa kuwawajibisha wale wote waliohusika na kashfa ya Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA WABUNGE KUPINGA BAADHI YA MAAZIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Kasi kutafuta mwafaka kuhusu Nuklia
Mataifa sita yenye ushawishi duniani na pamoja na Iran yanakutana kwa awamu ya mwisho ya majadiliano kabla ya muda wa mwisho wa kufikia makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEUvNLeiKtsarx9SKgoT8QmP9zhLS-c3pLvkeELX8SaW1QEX6Y9A*VNXFrUCkjJNjz*iSJrPSxys6gnWrfe0i*5/BREAKING.gif)
BUNGE LAAHIRISHWA TENA
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda ameahirisha bunge baada ya kutokea mzozo kwa wabunge wa upinzani kusimama na kuomba mwongozo wakati Waziri wa Nishati na madini, George Simbachawene alipoanza kusoma kwa mara ya pili Muswada juu ya Petroli, 2015 (The Petroleum Act, 2015). Baadhi ya wabunge wa upinzani walisimama kuomba mwongozo akiwemo, Tundu Lissu lakini hawakupewa nafasi ndipo wenzao nao waliposimama na kuanza kupaza asauti...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q3ws1OP_-OA/U69t9j7e4hI/AAAAAAAFtYo/mVddNje7AWI/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BUNGE LAAHIRISHWA HADI NOVEMBA 4, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q3ws1OP_-OA/U69t9j7e4hI/AAAAAAAFtYo/mVddNje7AWI/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HoFu42mzQQU/U69t9nKnwFI/AAAAAAAFtZI/8AjteLUbQfE/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kerivki9WRM/U69t9wEYTyI/AAAAAAAFtYs/87OvV3l0xBE/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wwx8O11knRY/U69t-Fi15bI/AAAAAAAFtYw/MHhZhnjoTrE/s1600/unnamed+(28).jpg)
Mwanasheria Mkuu Mhe.Jaji Frederick Werema akimpa mkono wa kumpongeza Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda mara baada ya kulihuitubia Bunge.
![](http://1.bp.blogspot.com/-x7cmkc9AHno/U69uyFAf9wI/AAAAAAAFtZU/UmE-dfyoQmw/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA PAC YAPATA UGENI KUTOKA BUNGE LA SUDANI KUSINI
11 years ago
Mwananchi22 Jun
JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka
Rais Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali uliotawala Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba Mpya ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.
5 years ago
CCM BlogBUNGE LAAHIRISHWA KIFO CHA MBUNGE WA SUMVE
Ndassa anakuwa mbunge wa pili wa CCM, kufariki dunia wakati Mkutano huu wa Bunge la 19 ukiendelea, baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mchungaji Getrude Rwakatare kufariki dunia wiki iliyopita.
“Waheshimiwa wabunge, ninaomba kuwajulisha kuwa bunge letu limepata na msiba mwingine mkubwa wa kuondokewa na mbunge mwenzetu wa Jimbo la Sumve ...
11 years ago
Habarileo06 Aug
Wanafunzi wataka mwafaka Bunge Maalum
MTANDAO wa Wanafunzi Nchini (TSNP) umewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuondoa tofauti zao na kuridhiana kupata Katiba bora badala ya kuoneshana ubabe.
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania