Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge lajipanga kwa majadiliano

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amewataka wajumbe wa Bunge hilo kujenga imani kwa Kamati ya Uongozi kwa vile haina mamlaka ya kufanya uamuzi na badala yake ipo kwa ajili ya kufanya ushauriano na kutoa mapendekezo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Majadiliano Bunge la Katiba yafungwa

KESHOKUTWA Alhamisi ndiyo siku ambayo rasimu ya mwisho inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba (BMK), itatolewa hadharani mbele ya Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA

Na Woinde Shizza,Arusha

Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.

Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip I. Mpango (wa pili kushoto) akifungua mkutano wa majadiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Japan kuhusu ufadhili wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2014/15.katika ukumbi  wa mikutano wa Wizara ya Fedha na yaliratibiwa na Ofisi ya Rais, Tume ya MipangoWajumbe kutoka Serikali ya Tanzania wakifuatilia michango mbalimbali kutoka kwa wajumbe wa mkutano huo. Miradi iliyowasilishwa ilihusisha Sekta za...

 

10 years ago

Habarileo

Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka

Advera BulimbaJESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu

Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.

Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shirika la Posta lajipanga kupanua wigo wa huduma

KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Posta Duniani (UPU) mtandao wa mawasiliano kwa njia ya Posta unajumuisha ofisi za posta 660,000 zenye uwezo wa kusambaza wastani wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Magereza lajipanga kujitosheleza chakula cha wafungwa

image

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Jeshi la Magereza nchini limejipanga kuanza kujisimamia lenyewe kwa kuwahudumia wafungwa chakula bila ya kuitegemea serikali kutokana na kuwepo na upungufu wa chakula cha kuwahudumia wafungwa hao.

Akizungumzia mpango huo wakati wa kikao cha kujadili rasimu ya mpango wa Jeshi hilo kujitosheleza kwa chakula, Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja amesema wameanzisha mpango huo ili kuipunguzia mzigo serikali kutokana na...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA WATOTO

Na Demetrius Njimbwi - Jeshi la Polisi
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa semina ya mafunzo ya siku tano yanayotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Dar es salaam, ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani