Bunge lamkaanga Mkurugenzi Jiji Dar
BUNGE limemshughulikia Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe, likitaka ang’olewe kwa madai ni kiongozi mbovu, mbadhilifu na amekuwa akizua vurugu kila anakohamishiwa. Pamoja na kuibua matatizo kila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Bunge lamkamia Mkurugenzi wa Jiji la Dar
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji
MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.
9 years ago
StarTV27 Aug
CWT Mwanza chatishia mgogoro na mkurugenzi wa jiji
Chama cha Walimu Tanzania CWT wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimesema kitatangaza mgogoro na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za walimu wilayani humo jumla ya shilingi milioni 707.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa CWT wilaya ya Nyamagana, hatua hiyo inatokana na mkurugenzi wa jiji la Mwanza kushindwa kujibu barua yao ya madai hayo yanayohusisha fedha za nauli ya likizo, malimbikizo ya mishahara na uhamisho. Projestus Binamungu ameandaa taarifa ifuatayo:
Katika...
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha apania kuirejesha timu ya AFC ligi kuu
Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Juma Iddi (mwenye suti nyeusi).
Na Woinde Shizza,Arusha
Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Juma Iddi amepania kuipandisha ligi timu ya Arusha FC inayoshiriki ligi daraja la pili msimu huu, huku akiwataka viongozi wa sasa wa timu hiyo kuwa kama kamati na jiji hilo kuhakikisha swala hilo linafanikiwa.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mapema ofisini kwake alisema kuwa kwa kuwa tayari usajili umekwisha fanyika kwa sasa wanatafuta kocha mwenye ujuzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_iKEss8yoAE/Xk1CsMBOQ9I/AAAAAAALeWs/auioS5LJ7c0ya7P6NfC_MWEk-pL9m1jFwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI JIJI LA DODOMA AAHIDI KUWAPATIA PIKIPIKI WALIMU WANAOTEMBEA UMBALI MREFU
KATIKA kuongeza motisha ya ufundishaji, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi ameahidi kuwapatia pikipiki walimu ambao wamekua wakitembea umbali mrefu kwenda mashuleni.
Kunambi ametoa ahadi hiyo leo katika uzinduzi wa shule ya msingi Mavunde ambayo imejengwa kwa ushirikiano wa Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde na Halmashauri ya Jiji hilo.
Akizungumza mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Kunambi amesema kwa kutambua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xxLY9zJUmno/Xudx4ItJFMI/AAAAAAALt44/bqdnKG_BJ8csML_KrQhtplRvkJjVF3qgwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B2.45.08%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI JIJI LA DODOMA AMUAHIDI RAIS MAGUFULI KUOA KABLA YA MWEZI DISEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xxLY9zJUmno/Xudx4ItJFMI/AAAAAAALt44/bqdnKG_BJ8csML_KrQhtplRvkJjVF3qgwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B2.45.08%2BPM.jpeg)
Ahadi hiyo ameitoa leo jijini Dodoma wakati akihojiwa katika kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Televisheni ya Clouds ikiwa ni wiki moja tangu Rais Dk John Magufuli atoe wito kwake yeye na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma wa kuwataka kuoa.
Akizungumzia suala la yeye kuoa, Kunambi amesema anafahamu kauli ya Rais Dk...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az0oXj74tuc/Xo2P-K7fGPI/AAAAAAALmd0/4TfBJLEc47I0IJKpJ2ayJRRlvR-yiEmjACLcBGAsYHQ/s72-c/a68ad77e-313a-4535-aad7-de1fef0f2bdb.jpg)
MKURUGENZI JIJI LA DODOMA ATANGAZA MFUMO MPYA WA KUJAZA MAOMBI YA KUFANYA BIASHARA KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI
Charles James, Michuzi TV
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetangaza kutumia mfumo wa malipo mtandao kwa wananchi kujaza fomu za kuomba nafasi za kufanya biashara kwenye miradi minne ya kimkakati ya Stendi ya Mabasi na Malori, Soko Kuu na eneo la Mapumziko la Chinangali.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema wamefanya mabadiliko hayo ikiwa ni siku mbili watangaze kuanza kutoa fomu kwa wananchi wanaotaka kuwekeza kwenye miradi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qL8nwof18A/XsTisfJnQeI/AAAAAAALq5I/CiHAhH1W0yQKQVE0gHGuIKWKd4WZ6UEAgCLcBGAsYHQ/s72-c/06dfe0c0-1a6c-49d4-a23d-654a7710382c.jpg)
KITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI, MKURUGENZI WA JIJI AFUNGUKA
JIJI la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi katika mkutano wake na wandishi wa habari wakati alipotembelea Ujenzi wa Kituo hicho kinachojengwa katika eneo la Nzuguni.
Kunambi amesema ujenzi wa Kituo hiko ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote kwa ukanda wa Afrika Mashariki tayari umekamilika...