Bunge lapitisha Bajeti ya Serikali kwa kura za ndiyo
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akijibu Hoja za Wabunge kabla ya Bunge kukaa na kupiga kura kuamua Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2014-015.
Wabunge wakimsikiliza Waziri wa fedha Mhe Saada wakati akijibu hoja za waheshimiwa Wabunge kabla ya zoezi la kupiga kura kwa ajili ya kupitisha Bajeti ya serikali kwa mwaka 2014-2015.
Spika wa Bunge akiendesha kikao cha Bunge la Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014-2015 akisaidiwa na Makatibu wa Bunge mbele yake wakati waziri wa Fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBUNGE LAPITISHA BAJETI YA SERIKALI KWA KURA ZA NDIO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a5Rx_9QpQm0/U4lmt5L9hWI/AAAAAAAFmqQ/CjazFvee8-8/s1600/unnamed+(78).jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Bunge lapitisha upigaji kura kwa fax, email
10 years ago
Habarileo29 Mar
Bunge lapitisha muswada wa sheria ya bajeti
KWA mara ya kwanza Tanzania itakuwa na sheria ya bajeti baada ya Bunge jana kupitisha muswada wa sheria ya bajeti ambayo inataka mchakato wa kuandaa bajeti kuwahusisha Wabunge.
10 years ago
VijimamboBunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje
11 years ago
MichuziBUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.
Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.
Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...