Bunge lapitisha upigaji kura kwa fax, email
Bunge la Katiba limeingia katika historia baada ya kupitisha kanuni zinazoruhusu wajumbe wake watakaokuwa nje ya nchi kupiga kura kwa njia ya nukushi (fax) na baruapepe (email).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Sep
Wataalamu: Kura kwa email, fax si salama
11 years ago
GPLBUNGE LAPITISHA BAJETI YA SERIKALI KWA KURA ZA NDIO
11 years ago
MichuziBunge lapitisha Bajeti ya Serikali kwa kura za ndiyo
10 years ago
Habarileo25 Oct
Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu
WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.
Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...
5 years ago
CCM Blog
BUNGE LAPITISHA MAKADIRIO YA WIZARA YA MADINI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021

Akiwasilisha Bungeni jijini Dodoma April 21 ,2020 hotuba ya Makadirio Ya Mapato na Matumizi Ya Fedha Kwa Mwaka 2020/2021 Waziri wa Madini Mhe.Doto Mashaka Biteko alisema Mchanganuo wa Bajeti hiyo ni kama ifuatavyo:-
(i)Bajeti ya Maendeleo ni shilingi 8,500,000,000....
11 years ago
Michuzi.jpg)
Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Zoezi la upigaji kura laenda kwa utulivu Dar
10 years ago
Michuzi
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR


