Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge livunjwe tukawaombe radhi wananchi- Mjumbe

Mivutano katika Bunge la Katiba imemchukiza mmoja wa wajumbe wa chombo hicho, Michael Laizer ambaye amemshauri mwenyekiti wake, Samuel Sitta amwombe Rais kuvunja Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Asasi zataka Bunge livunjwe

IMEELEZWA kuwa hakuna sababu ya kuendelea na Bunge Maalumu la Katiba, kama rasimu ya pili iliyopelekwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba inadhihakiwa na kudharauliwa....

 

11 years ago

Mwananchi

ALAT: Bunge la Katiba livunjwe

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serika za Mitaa, ALAT, Dk Didas Masaburi amesema kuna kila sababu ya Bunge Maalumu la Katiba kusitisha vikao vyake na kurejea upya kwa wananchi kupata maoni mapya kuhusu muundo wa Serikali wanayotaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makaidi apendekeza Bunge livunjwe

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amependekeza kuvunjwa kwa Bunge hilo kwa madai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinavuruga bunge hilo kutokana na kujipendelea. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge: Jengo la ghorofa 16 Dar livunjwe

BUNGE limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.

 

11 years ago

Mwananchi

NCCR yataka Bunge la Katiba livunjwe

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, Leticia Mosore ameitaka Serikali kuvunja Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu Rais Jakaya Kikwete ametumia mamlaka yake kulielekeza Bunge hilo kufanya alivyopanga.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge la Katiba livunjwe, Kikwete amemaliza kazi’

>Siasa ni kama mchezo ambao kanuni zake zinaweza kuitofautisha na soka; mchezo ambao hauhitaji waamuzi watatu uwanjani ili uchezeshwa kwa haki.

 

10 years ago

Vijimambo

SPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA

Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimkabidhi zawadi Mhe. David Martin Mjumbe wa Kamati ya Bunge la Ulaya ya Ushirikiano kati ya Bunge la Ulaya, Baraza la Wawakilishi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana awaomba radhi wananchi wa Karema

-Awaomba radhi wananchi wa Karema kwa kuchelewa kukamilika kwa mradi wa bandari ambao umesimama kabisa baada ya mkandarasi aliyepewa mradi huo kushindwa kuumaliza .

-Asikitishwa na watumishi wengi wa serikali kuendeleza tabia ya umangi meza kwani miradi mingine inasimama kwa kipindi kirefu kwa sababu kuna kiongozi wa serikali amechelewa kujibu barua itakayofanikisha mradi kuendelea na kumalizika kwa wakati.

-Asisitiza Viongozi na wana CCM kuwa wakali katika kusimamia utekelezaji wa ilani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani