Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makaidi apendekeza Bunge livunjwe

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amependekeza kuvunjwa kwa Bunge hilo kwa madai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinavuruga bunge hilo kutokana na kujipendelea. Akizungumza na waandishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Asasi zataka Bunge livunjwe

IMEELEZWA kuwa hakuna sababu ya kuendelea na Bunge Maalumu la Katiba, kama rasimu ya pili iliyopelekwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba inadhihakiwa na kudharauliwa....

 

11 years ago

Mwananchi

ALAT: Bunge la Katiba livunjwe

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serika za Mitaa, ALAT, Dk Didas Masaburi amesema kuna kila sababu ya Bunge Maalumu la Katiba kusitisha vikao vyake na kurejea upya kwa wananchi kupata maoni mapya kuhusu muundo wa Serikali wanayotaka.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge: Jengo la ghorofa 16 Dar livunjwe

BUNGE limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.

 

11 years ago

Mwananchi

NCCR yataka Bunge la Katiba livunjwe

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, Leticia Mosore ameitaka Serikali kuvunja Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu Rais Jakaya Kikwete ametumia mamlaka yake kulielekeza Bunge hilo kufanya alivyopanga.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge la Katiba livunjwe, Kikwete amemaliza kazi’

>Siasa ni kama mchezo ambao kanuni zake zinaweza kuitofautisha na soka; mchezo ambao hauhitaji waamuzi watatu uwanjani ili uchezeshwa kwa haki.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge livunjwe tukawaombe radhi wananchi- Mjumbe

Mivutano katika Bunge la Katiba imemchukiza mmoja wa wajumbe wa chombo hicho, Michael Laizer ambaye amemshauri mwenyekiti wake, Samuel Sitta amwombe Rais kuvunja Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba

>Wajumbe watatu wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa kivutio katika ndani na nje ya Bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

Michuzi

Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanya mahojiano na mwandishi  wa DW aliyeko Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Saleh Mwanamilongo Jumanne (15.04.2014) nchini Tanzania.Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Katika mahojiano hayo yaliofanyika Ikulu ya Dar-es-Salaam yaliyodumu kwa takriban dakika arobaini Rais Kikwete ameelezea maoni yake juu ya shughuli za kulinda amani za kikosi cha Umoja wa Mataifa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Profesa apendekeza maskini wagawane wake Uchina

Profesa mmoja nchini Uchina amezua mjadala mkali baada yake kupendekeza kwamba wanaume maskini wawe wakigawana wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani