Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa apendekeza maskini wagawane wake Uchina

Profesa mmoja nchini Uchina amezua mjadala mkali baada yake kupendekeza kwamba wanaume maskini wawe wakigawana wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote

Profesa Mark Mwandosya na mkewe mama
 Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makaidi apendekeza Bunge livunjwe

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amependekeza kuvunjwa kwa Bunge hilo kwa madai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinavuruga bunge hilo kutokana na kujipendelea. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanya mahojiano na mwandishi  wa DW aliyeko Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Saleh Mwanamilongo Jumanne (15.04.2014) nchini Tanzania.Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Katika mahojiano hayo yaliofanyika Ikulu ya Dar-es-Salaam yaliyodumu kwa takriban dakika arobaini Rais Kikwete ameelezea maoni yake juu ya shughuli za kulinda amani za kikosi cha Umoja wa Mataifa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu

Profesa Jay, msanii wa hiphop Tanzania aliyechukua ushindi baada ya kupigiwa kura na Wananchi wa jimbo la Mikumi Morogoro ili awe Mbunge wao kwa miaka mitano kuanzia 2015-2020, kama hujawahi kabisa kumuona akiongea na Wananchi… bonyeza play kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

MBATIA APENDEKEZA SHULE BINAFSI ZIPEWE RUZUKU TOKA SERIKALINI

Mkuu wa shule ya sekondari Maua seminari ,Erastus Tesha akizungumza katika mahafali ya 33 kwa wahitimu wa kidato cha sita yaliyofanyika shuleni hapo.Mgeni rasmi katika mahafali hayo ,mbunge wa kuteuliwa na rais ,Mh James Mbatia akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo pamoja na wageni waalikwa .
Wahitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Maua Seminari.Baadhi ya wageni waliofika shuleni hapo kwa ajili ya mahafali ya ndugu zao wanaotarajia kuhitimu kidato cha sita katika shule ya sekondary ya...

 

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii


WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua  au ugonjwa wowote.

Kupitia taarifa yake ambayo...

 

11 years ago

Michuzi

JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI

Rais Jakaya Kikwete akiongea kuhusu mbinu za kukabiliana na ujangili na biashara haramu ya meno ya tembo na pembe za faru, ambapo katika mkutano maalumu wa tatizo hilo leo huko Lancaster House jijini London, Uingereza leo, mependekeza kupigwa marufuku kwa biashara hiyo ulimwenguni kote ili kuua biashara hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona

Baadhi ya watu wenye ulemavu wanathibitisha kuwa ulemavu si kikwazo cha binadamu kutafuta haki ya msingi ya kupata elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani