Profesa apendekeza maskini wagawane wake Uchina
Profesa mmoja nchini Uchina amezua mjadala mkali baada yake kupendekeza kwamba wanaume maskini wawe wakigawana wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s72-c/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote
![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s640/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/kabudi.jpg)
WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s400/kabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Makaidi apendekeza Bunge livunjwe
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amependekeza kuvunjwa kwa Bunge hilo kwa madai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinavuruga bunge hilo kutokana na kujipendelea. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Michuzi17 Apr
Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23
![Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014)](http://www.dw.de/image/0,,17572377_303,00.jpg)
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu
Profesa Jay, msanii wa hiphop Tanzania aliyechukua ushindi baada ya kupigiwa kura na Wananchi wa jimbo la Mikumi Morogoro ili awe Mbunge wao kwa miaka mitano kuanzia 2015-2020, kama hujawahi kabisa kumuona akiongea na Wananchi… bonyeza play kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQDfkCEO0Ns/VVV9zINzuqI/AAAAAAAAPiw/dl9tdSf-rQc/s72-c/DSCF4848%2B(800x600).jpg)
MBATIA APENDEKEZA SHULE BINAFSI ZIPEWE RUZUKU TOKA SERIKALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQDfkCEO0Ns/VVV9zINzuqI/AAAAAAAAPiw/dl9tdSf-rQc/s640/DSCF4848%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IBZRg2jC6yo/VVV90oxC7HI/AAAAAAAAPi4/kOorgvhbuFU/s640/DSCF4871%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHsW7K2LAZc/VVV9u86cfaI/AAAAAAAAPig/nqxr1ulWbE4/s640/DSCF4827%2B(800x600).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xvtCcyWRhmo/VVV917wr74I/AAAAAAAAPjA/uStWdeDVb7Q/s640/DSCF4876%2B(800x600).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s400/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua au ugonjwa wowote.
Kupitia taarifa yake ambayo...
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona