NCCR yataka Bunge la Katiba livunjwe
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, Leticia Mosore ameitaka Serikali kuvunja Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu Rais Jakaya Kikwete ametumia mamlaka yake kulielekeza Bunge hilo kufanya alivyopanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Feb
ALAT: Bunge la Katiba livunjwe
11 years ago
Mwananchi26 Mar
‘Bunge la Katiba livunjwe, Kikwete amemaliza kazi’
10 years ago
Mtanzania27 Jan
NCCR yataka Rugemalila apelekwe mahakamani
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kuwawajibisha wahusika wakuu walioshiriki katika uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow wakiwamo waliotoa rushwa ili kufanikisha mchakato huo.
Akizungumza katika ofisi za chama hicho jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Mosena Nyambabe, alisema Serikali imepeleka mahakamani maofisa wa ngazi za chini waliohusika katika sakata hilo na kuwaacha watu muhimu waliotoa rushwa.
“Mtuhumiwa namba moja ni mtu...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Makaidi apendekeza Bunge livunjwe
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amependekeza kuvunjwa kwa Bunge hilo kwa madai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinavuruga bunge hilo kutokana na kujipendelea. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Asasi zataka Bunge livunjwe
IMEELEZWA kuwa hakuna sababu ya kuendelea na Bunge Maalumu la Katiba, kama rasimu ya pili iliyopelekwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba inadhihakiwa na kudharauliwa....
11 years ago
Habarileo29 May
Bunge: Jengo la ghorofa 16 Dar livunjwe
BUNGE limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Bunge livunjwe tukawaombe radhi wananchi- Mjumbe
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA