NCCR yataka Rugemalila apelekwe mahakamani
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kuwawajibisha wahusika wakuu walioshiriki katika uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow wakiwamo waliotoa rushwa ili kufanikisha mchakato huo.
Akizungumza katika ofisi za chama hicho jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Mosena Nyambabe, alisema Serikali imepeleka mahakamani maofisa wa ngazi za chini waliohusika katika sakata hilo na kuwaacha watu muhimu waliotoa rushwa.
“Mtuhumiwa namba moja ni mtu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
NCCR yataka Bunge la Katiba livunjwe
10 years ago
Mwananchi26 Jan
NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-koIWeQf8XPA/XleoLAF_1RI/AAAAAAALfqw/MkitxvjK4M8PRNmI6O805F2kozjgbxPUQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B14.28.26.jpeg)
Mahakama kupokea hoja za Rugemalila za kutaka aachiwe mwezi ujao
![](https://1.bp.blogspot.com/-koIWeQf8XPA/XleoLAF_1RI/AAAAAAALfqw/MkitxvjK4M8PRNmI6O805F2kozjgbxPUQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B14.28.26.jpeg)
MAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imeruhusu kupokelewa kwa hoja za maombi ya mfanyabiashara James Rugemarila ya kutaka asiondolewe katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili yeye na wenzake wawili
Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon leo Februari 27, 2020 amedai mbele ya hakimu Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilikuja kwa kutajwa na upelelezi bado haujakamilika hivyo aliomba tarehe nyingine ya kutajwa.
Hata hivyo, wakili wa utetezi John Chuma anayemwakilisha Rugemarila alidai...
5 years ago
MichuziMAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO
Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.
Waziri Mkuu...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
11 years ago
Mageuzi National Chairman, James Mbatia26 Feb
NCCR
IPPmedia
IPPmedia
Recurring mass failures by Form Four candidates has prompted stakeholders to propose that government dedicate at least 30 percent of next year's national budget to the education sector. The stakeholders are imploring the Members of Parliament to push ...
11 years ago
TheCitizen21 Jan
NCCR-Mageuzi gets new secretary-general
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kiongozi wa NCCR auawa Serengeti
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Ni wakati wa NCCR kurejesha heshima