Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NCCR yataka Rugemalila apelekwe mahakamani

Pg 3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kuwawajibisha wahusika wakuu walioshiriki katika uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow wakiwamo waliotoa rushwa ili kufanikisha mchakato huo.
Akizungumza katika ofisi za chama hicho jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Mosena Nyambabe, alisema Serikali imepeleka mahakamani maofisa wa ngazi za chini waliohusika katika sakata hilo na kuwaacha watu muhimu waliotoa rushwa.
“Mtuhumiwa namba moja ni mtu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

NCCR yataka Bunge la Katiba livunjwe

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, Leticia Mosore ameitaka Serikali kuvunja Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu Rais Jakaya Kikwete ametumia mamlaka yake kulielekeza Bunge hilo kufanya alivyopanga.

 

10 years ago

Mwananchi

NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani

>Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James Rugemalira .

 

5 years ago

Michuzi

Mahakama kupokea hoja za Rugemalila za kutaka aachiwe mwezi ujao


MAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imeruhusu kupokelewa kwa hoja za maombi ya mfanyabiashara James Rugemarila ya kutaka asiondolewe katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili yeye na wenzake wawili

Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon leo Februari 27, 2020 amedai mbele ya hakimu Hakimu Mkazi Mkuu  Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilikuja kwa kutajwa na upelelezi bado haujakamilika hivyo aliomba tarehe nyingine ya kutajwa.

Hata hivyo, wakili wa utetezi John Chuma anayemwakilisha Rugemarila alidai...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: ATAKAYETHIBITIKA NA CORONA APELEKWE ENEO MAALUMU BILA KUJALI CHEO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesisitiza kuwa mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) apelekwe eneo maalum bila kujali cheo chake na atalala palipoandaliwa.

Amewataka Watanzania wazingatie masharti ya afya kwa kufuata ushauri unaotolewa na Serikali kwa sababu hivi sasa nchi yetu na dunia kwa ujumla inapitia katika kipindi kigumu pia,waendelee kupuuza taarifa za uzushi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii.

Waziri Mkuu...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

11 years ago

Mageuzi National Chairman, James Mbatia

NCCR


IPPmedia
NCCR-Mageuzi national chairman, James Mbatia
IPPmedia
Recurring mass failures by Form Four candidates has prompted stakeholders to propose that government dedicate at least 30 percent of next year's national budget to the education sector. The stakeholders are imploring the Members of Parliament to push ...

 

11 years ago

TheCitizen

NCCR-Mageuzi gets new secretary-general

Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa NCCR auawa Serengeti

>Kamishna wa NCCR-Mageuzi Mkoa wa Mara, Stephen Sebeki ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga na mtu anayedaiwa kuwa ni hawara wa shemeji yake, chanzo kikidaiwa kuwa ni mgogoro wa nyasi za kuezekea.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni wakati wa NCCR kurejesha heshima

>NCCR-Mageuzi ni chama kilichokuwa kimesheheni wanasheria na wasomi mashuhuri wakiwamo mawakili akina Mabere Marando aliyekuwa mwenyekiti mwanzilishi na Dk Masumbuko Lamwai na wengine wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani