Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni wakati wa NCCR kurejesha heshima

>NCCR-Mageuzi ni chama kilichokuwa kimesheheni wanasheria na wasomi mashuhuri wakiwamo mawakili akina Mabere Marando aliyekuwa mwenyekiti mwanzilishi na Dk Masumbuko Lamwai na wengine wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wahandisi wa Ujenzi Wazalendo lazima wajenge Heshima wakati wa kutekeleza Miradi wanayokabidhiwa -BALOZI SEIF ALI IDDI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Wahandisi wa Ujenzi Wazalendo lazima wajenge Heshima wakati wa kutekeleza Miradi wanayokabidhiwa katika misingi ya uaminifu kitendo kitachowajengea SIFA na hatimae kuaminika Zaidi.

Alisema wapo baadhi ya Wataalamu Wazalendo wenye tabia chafu isiyokubalika ya kuwadanganya Viongozi pamoja na Taasisi zilizowakabidhi Miradi ya Ujenzi bila ya kujali kwamba wametia saini Mkataba unaowapa wajibu wa kuutekeleza kwa muda muwafaka.

Balozi...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali Diendere kurejesha madaraka

Jenerali Gilbert Diendere aliyefanya mapinduzi nchini Burkina Faso amesema kuwa yupo tayari kukabidhi serikali kwa utawala wa kiraia

 

11 years ago

BBCSwahili

Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?

Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'.

 

11 years ago

BBCSwahili

Agizo la kurejesha magari ya Toyota

Kampuni ya kutengeza magari ya Toyota nchini Japan, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni 1.9 aina ya Prius kutokana na hitilafu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC Kipozi aamriwa kurejesha saruji

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, kurudisha mifuko 700 ya saruji ambayo alimkabidhi ikiwa ni mchango wake katika ujenzi wa maabara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar imeamua kurejesha udikteta?

UTAWALA wa kifashisti na udikteta huwa na sura nyingi  na nyingine  huwa za kuvutia ili kuuhadaa umma (watawala huuona umma kama kundi la mabwege). Madikteta huwa hawajali wala hawaheshimu haki...

 

5 years ago

Michuzi

TARURA YAENDELEA KUREJESHA MAWASILIANO

Erick Mwanakulya na Geofrey Kazaula – TARURA
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), umeendelea kurejesha mawasiliano katika maeneo mbalimballi yaliyoathiriwa na mvua nchini na kusababisha adha kwa watumiaji wa barabara hizo pamoja na madaraja.
Kwa Mikoa ya Dodoma na Manyara, tayari mawasiliano yanaendelea kurejeshwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.Meneja wa Wakala Wa Barabara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani