DC Kipozi aamriwa kurejesha saruji
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, kurudisha mifuko 700 ya saruji ambayo alimkabidhi ikiwa ni mchango wake katika ujenzi wa maabara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Nov
ZIARA YA RADHIA KIPOZI-SUZUKI NCHINI JAPAN
5 years ago
Michuzi
RUFAA YA DC CHEMBA, YATUPWA AAMRIWA KUTOA MATUNZO YA MTOTO

Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na...
11 years ago
Michuzi.jpg)
YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAULE
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
mhe kipozi ala pozi na wanahabari waliokuwa wakiripoti kampeni za ubunge jimbo la chalinze

11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
ARM yatoa msaada wa saruji
KIWANDA cha ARM, kimetoa msaada wa mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni moja kwa lengo la kumalizia vyumba viwili vya maabara vinavyojengwa katika shule ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
Na mwandishi wetu
WAKATI Bajeti Kuu ya serikali ya mwaka wa fedha 2014/2015, ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni leo, Mkuu wa Kitengo cha Sayansi ya Siasa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana, ameshauri bei ya mafuta idhibitiwe na kuwa chini.
Alisema mafuta ni nishati muhimu ambayo inagusa maisha ya kila mwananchi na kwamba yakipanda bei yanachangia maisha ya wananchi kuwa magumu.
Dk. Bana alisema hayo jana alipokuwa akitoa maoni yake kuhusu muelekeo wa bajeti kuu ya serikali...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Magufuli: Nitashusha bei ya saruji, mabati
NA BAKARI KIMWANGA, TUNDURU
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema endapo atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano, atahakikisha anashusha bei ya saruji na mabati ili kila Mtanzania aweze kufurahia
maisha kwa kujenga nyumba bora na nzuri.
Amesema hatakuwa tayari kuona bei ya vifaa vya ujenzi ikipaa hali ya kuwa viwanda vipya vitaanza uzalishaji.
Kauli hiyo aliitoa jana katika mikutano yake ya kampeni za kuomba kuchaguliwa kuwa rais katika wilaya za...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Uingizaji wa saruji kiholela wawaliza wazawa
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli kupunguza bei ya saruji, mabati
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10