Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARM yatoa msaada wa saruji

KIWANDA cha ARM, kimetoa msaada wa mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni moja kwa lengo la kumalizia vyumba viwili vya maabara vinavyojengwa katika shule ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA MABATI, SARUJI KWA WAATHIRIKA WA JANGA LA MVUA KAHAMA

 Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya watu waliopatwa na janga la  mvua ya mawe  katika  kata ya Mwakata  ambae ni mkuu wa wilaya ya Kahama,  Benson Mpesya  wa katikati akipokea msaada wa vifaa vya ujenzi  mabati 176  na mifuko ya saruji 130  vilivyotolewa na kampuni ya bia  ya TBL  kulia anayekabidhi ni  meneja mauzo na usabazaji Godwin Zakaria na kushoto ni mjumbe wa kamati Patrick Kalangwa ambae ni mkurugenzi wa halmashauri ya Msalala lengo la msaada huo ni kuunga mkono ahadi ya Rais Jakaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Pan African Energy yatoa msaada wa mifuko 1500 ya Saruji kwa wilaya ya Kilwa

IMG_1708

Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za Jamii wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy, Andrew Kashangaki (kwanza kushoto) akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Peter Malekela (kulia) msaada wa saruji 1,500 yenye thamani ya shilingi milioni 18 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Lindi ili kuwezesha ujenzi wa maabala 59 katika shule zake za sekondari zipatazo 24. Pembeni wanaoshuhudia ni viongozi wa halmashauri hiyo na wafanyakazi wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan...

 

10 years ago

Michuzi

RIDHIWANI ATOA MSAADA WA FEDHA NA SARUJI UJENZI WA WODI

Mwenyekiti wa Kijiji cha Pongwekiona Rajab Mgaya kushoto akipokea fedha kiasi cha shilingi milioni moja na mifuko 70 ya Saruji toka kwa katibu wa Mbunge wa Chalinze Iddy Swala ambaye alimwakilisha Mbunge wa Jimbo hilo Ridhiwani Kikwete, fedha hizo ni kwa ajili ya ujenzi wa wodi mbili kwenye zahanati ya Kijiji hicho. Diwani wa kata ya Kimange Hussein Hadingoka kushoto akipokea fedha kiasi cha shilingi milioni moja toka kwa katibu wa Mbunge wa Chalinze Iddy Swala kwa niaba ya Mbunge kwa ajili...

 

10 years ago

Michuzi

WANAKWAYA WA CENTRAL MIRERANI WAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 34 YA SARUJI KUJENGEA CHOO CHA SHULE YA ENDIAMTU

Na Joseph Lyimo, MireraniShule ya msingi Endiamtu ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yenye upungufu wa matundu 19 ya choo, imepatiwa msaada wa mifuko 34 ya saruji iliyotolewa na kwaya ya Mirerani Central ya Kanisa la Wasabato SDA. Katibu wa Kanisa hilo, Benson Nyaura akizungumza jana wakati akikabidhi mifuko hiyo 34 ya saruji kwa Diwani wa kata ya Endiamtu Lucas Zacharia alisema kanisa ni taasisi inayojali mahitaji ya jamii hivyo wamejitoa ili kusaidia wanafunzi hao.  Nyaura alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

EU yatoa msaada wa magari TaCRI

JUMUIYA ya Umoja wa Ulaya, (EU), imetoa msaada wa magari saba kwa taasisi ya utafiti wa zao la Kahawa nchini, (TaCRI), yenye thamani ya sh. milioni 631.9. Aidha, hatua hiyo...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA

Ofisa Masoko wa Global Publishers Ltd, Benjamin Mwanambuu (kushoto) akikabidhi hundi kwa Ofisa Usimamizi wa Ubora wa Hospitali ya Amana, Lucy Mbusi (kulia). Katikati anayeshuhudia ni Ofisa wa Teknolojia ya Habari  wa hospitali hiyo, Lucas Mjema. (Picha na Richard Bukos / GPL)

 

11 years ago

Habarileo

Sumatra yatoa msaada hospitali ya Kisarawe

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetoa msaada wa vifaa vya hospitalini na kuwapa zawadi waliojifungua katika Hospitali ya Wilaya, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Mwaka mpya.

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YATOA MSAADA WA MABATI 300

Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Gerald Guninita akipokea msaada wa mabati 200 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF kutoka makao makuu Amelia Rwemamu kwa ajili ya ujenzi wa maabara za sayansi katika shule za sekondari wilayani humo, Makabidhiano yalifanyika juzi katika ofisi za wilaya ya Kilolo
 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evalista Kalalu akikabidhiwa mabati 100 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF Mkoa wa Iringa, Baraka Jumanne kwa ajili ya chuo cha Ualimu Mufindi(MUTCO) kwa ajili ya ujenzi wa Hostel katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani