Bunju wateketeza kituo cha Polisi
WANANCHI wa Bunju jijini Dar es Salaam wamechoma moto kituo cha polisi cha Bunju A na gari lililodaiwa kusababisha ajali ya mwanafunzi na kusababisha kifo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcIoBsHDsg2raRtiBswvWhxn29gFILSpaGzydMW66peqdWi3*NCsUURdUlBraNsvcwWzFbHlGvuh9dH6uVeSDh3Z/bunjukituo.png?width=650)
WANANCHI BUNJU WACHOMA KITUO CHA POLISI
Kituo cha Polisi Bunju B kikiteketea baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira kali. Moshi mkubwa kutoka eneo hilo la kituo. Baadhi ya wakazi wa Bunju leo wamevamia na kukichoma moto Kituo cha Polisi Bunju A baada ya polisi kufyatua mabomu ya machozi na risasi za moto kuwatawanya wananchi waliofunga barabara baada ya mwanafunzi wa darasa la nne Shule ya Msingi ya Bunju A kugongwa gari na kufariki leo asubuhi. Polisi… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dEpix1LMtsc/VZ-cJBCpSCI/AAAAAAAAhL8/VYViimWRyxI/s72-c/polis.jpg)
KITUO CHA POLISI BUNJU CHACHOMWA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-dEpix1LMtsc/VZ-cJBCpSCI/AAAAAAAAhL8/VYViimWRyxI/s640/polis.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HIxW113On4Q/VZ_EquYVmtI/AAAAAAAHoeI/j1iZ7Z_Y7GM/s72-c/AuTHygbbEvvhqmwtA-VpyrinymCLKlZjmyP7AVBNl5go.jpg)
NEWZZ ALERT:KITUO CHA POLISI BUNJU CHACHOMWA MOTO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HIxW113On4Q/VZ_EquYVmtI/AAAAAAAHoeI/j1iZ7Z_Y7GM/s640/AuTHygbbEvvhqmwtA-VpyrinymCLKlZjmyP7AVBNl5go.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ynmmg7RdZJ0/VZ_Eqp5LetI/AAAAAAAHoeM/hoF7V1Przko/s640/h.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl3z84pQiB0/VZ_E5IVvKsI/AAAAAAAHoeY/6T7vnXH6uGM/s640/ArvPeAC8v13VHhmXjdJQmephA7sFdibBihk4NAYgf1Qu.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCJjE4najr9bCzxEfpLHWJYpa8sHvxa3iQXBKhWphJ3HUGnCtO3BZ1S6mQPm*aDI536ksKGoBNNs4VV72Yl8zq4G/moto1.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA KITUO CHA KUPOZEA UMEME CHA MJINI MOSHI
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio. Wananchi wakishuhudia juhudi za kuzima moto.
Moto ukiendelea.…
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s72-c/1.jpg)
KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JZiwE7Yhgd4/VopD_vrGtfI/AAAAAAAAeu4/fv4xShcehXs/s640/DzTyev0v.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qO4UQP6QCgU/VoowEh7rK-I/AAAAAAAAeuY/avfmFGSKGOA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9p0EZOgC3Yk/VoowLgzzhjI/AAAAAAAAeuo/hjg3SHZcfLs/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TtzphOW4VFE/U-73WEFvswI/AAAAAAAF_-4/0eM5uKKbZiQ/s72-c/5c613b59a6c16d60985faae9e412a6e2.jpg)
news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini. Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa. Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata...
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4ur97VhIdHrwwacMHra1YOjmjnrzAl7RP7DI3YZHKtOrvI*epTTORCUd5H4PNqWuicflqHnYJzsmc*IltS4ZSd/BREAKING.gif)
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
WATU wanaodhaniwa kuwa magaidi wamevamia Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam, jana usiku na kuua askari na raia kisha kupora silaha. Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
JESHI la Polisi mkoani Arusha, litaanza ujenzi wa kituo kidogo cha polisi katika kata ya Kisongo wilayani Arumeru mkoani hapa baada ya jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kuwapa eneo la ujenzi huo ili kuondoa kero kwa wananchi.
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania