BUSU LA BATULI, CHILO UTATA!
![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN7ap*qh7MK2xATlzcXfXzl5Bnk-EMeCEycfi*SsEezXWA*b-iL1EHDZghx-wAv889s015nJ2yvwYXP7kM0Dwual/chilo.jpg)
Stori: Gladness Mallya MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amezua utata wa aina yake kufuatia kunaswa akimpiga busu matata mkongwe, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ Baada ya picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa ‘very close’ wakifanya tendo hilo kunaswa na paparazi wetu, paparazi wetu alimtafuta Batuli na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNaliI*GLhAW8K6voDbGYWwQZm3qRUYmqhdSQthvZBLOO5KOodWAl9ddIcMKK7d16RXxafTz2ZFM2AmT0xkfwUj-/martinnawema.jpg)
BUSU LA WEMA, KADINDA UTATA!
10 years ago
BBCSwahili05 May
Busu la Kitamaduni la Wellesley,utata
10 years ago
Bongo Movies07 Jun
Mzee Chilo Aingia Chimbo
Muigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Tanzania, Mzee Chilo ameonyesha kuwa licha ya umri mkubwa alionao, anaendelea na kazi ya sanaa, hivi sasa akiwa katika utayarishaji wa tamthilia kubwa kabisa inayokwenda kwa jina 'Ghafla Siku Moja'.
Kazi hiyo inaendelea kwa sasa kuongeza nguvu kwa upande wa utayarishaji tamthilia hapa nchini ambao bado upo chini kufuatia wasanii wengi kujikita katika filamu ambazo huwagharimu bajeti na muda mdogo kukamilisha.
Eatv.tv
9 years ago
Bongo Movies01 Jan
Chilo Afungukia Kupotea Tamthilia za Nyumbani
Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.
![Mzee Chilo](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/Mzee-Chillo.jpg)
Mzee Chilo
Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.
“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Chilo: Going Bongo inastahili tuzo zaidi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJadcLo85Aq*-gp4x2ybwYrTmFwy*bF1IlOmgzlDr2FHAbSwLXPWF9zwvFCPxlCspk1iYkz9*fDoLgRw3leAxZk/mzeechilo.jpg?width=650)
MZEE CHILO AWATOLEA UVIVU WASANII
9 years ago
Bongo Movies12 Nov
Mzee Chilo: Going Bongo Inastahili Tuzo Zaidi
Mwigizaji wa filamu, Chilo ametaja sababu tatu zinazoweza kuifanya filamu ya Going Bongo kushinda tuzo zaidi, ambazo ni maandalizi ya muda mrefu, kuona mbali na waigizaji kutambua kazi yao.
Mwigizaji huyo, ambaye jina lake halisi ni Ahmed Olutu, alisema inawezekana mambo mengine yamo ndani ya maandalizi, lakini kiuhalisia kila jambo linajitegemea, kwa sababu unaweza kuandaa kila kitu lakini waigizaji wakawa hawatambui thamani ya ulichokiandaa na kufanya mzaha katika kazi.
Chilo ni miongoni...
10 years ago
Bongo513 Apr
Mzee Chilo asema filamu ya ‘Going Bongo’ imemfunza mengi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!