Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busu la Kitamaduni la Wellesley,utata

Busu la kitamaduni la mbio za Boston Marathon,lampa wakati mgumu mwanamke mmoja nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BUSU LA WEMA, KADINDA UTATA!

Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda katika pozi tata. Stori: Mwandishi Wetu PICHA inayomuonesha mwigizaji Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda imezua utata kuwa huenda wawili hao wana zaidi ya umeneja. Baada ya picha hiyo kutupiwa kwenye mtandao wa Instragram na watu kutilia mashaka busu hilo, paparazi wetu alimvutia waya Wema, alipopatikana alijibu:
“Martin ni meneja, baby wangu kila mmoja anamjua, ni...

 

10 years ago

GPL

BUSU LA BATULI, CHILO UTATA!

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amezua utata wa aina yake kufuatia kunaswa akimpiga busu matata mkongwe, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ Baada ya picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa ‘very close’ wakifanya tendo hilo kunaswa na paparazi wetu, paparazi wetu alimtafuta Batuli na...

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON :Mahitaji ya mwanadamu ni matatu lakini hutofautiana kitamaduni

Ili aishi, mwanadamu anahitaji malezi, mavazi na chakula. Hana haja ya kuondoka kwao kama vitu hivyo vya msingi vipo. Viongozi wa Ulaya sasa hivi wanakinzana wakishangaa namna wakimbizi na wahamiaji wanaoyakwepa maeneo yenye tafrani Afrika na Mashariki ya Kati, hususan, Syria... Mwanadamu ahitaji malezi, chakula na mavazi kuishi, ila haya huendana na utamaduni.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la kitamaduni la "Mtu kwao" laanza leo jijini Arusha

 Chifu wa  kinadi  ambayo ipo katika wilaya ya Itilima  mkoani Simuyu  Wenceslaus Clement  akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai katika siku ya kwanza ya tamasha la "Mtu kwao" laanza katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abein jijini Arusha leo Mkufunzi wa kabila la Wabarabaigi akiwaonyesha malegwanani wa Kimasai mishale ya sumu ambapo alisema kuwa mishale hiyo ina sumu kali ambayo imetengenezwa kutoka dawa za miti aina saba tofauti, na kwamba  ikikupiga tu hauwezi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mitazamo hasi kitamaduni chanzo cha mauaji ya watu wenye albinism

DSC_0569

Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO nchini, Bi. Zulmira Rodgrigues, akiwasilisha mada katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakahungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuhusu ushirikishaji jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayochangia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhulma zinazofanywa dhidi ya watu wenye albinism iliyoshirikisha waganga wa asili, wauguzi na wakunga, viongozi wa dini, walimu pamoja na watu maarufu iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa...

 

9 years ago

GPL

BUSU LA WEMA, MAKAMBA MH!

Musa mateja BUSU walilopigana mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba lilizua gumzo la aina yake huku wambea wakisema; “wamependezana.”  ....Soma zaidi===> http://goo.gl/6vzzvZ

 

9 years ago

Global Publishers

Busu la Wema Lamdatisha JB

jb na wema (2)Waigizaji nguli wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen na mwenzake Wema Sepetu ‘Madam’.

Mwandishi wetu

MKONGWE kwenye anga la sinema za Kibongo, Jacob Stephen ameeleza jinsi alivyodatishwa na busu la mwigizaji mwenzake Wema Sepetu ‘Madam’ wakati wakirekodi sinema yake mpya iitwayo Chungu cha Tatu.

jb na wema (1)JB alisema licha ya kuwa busu hilo lilikuwa katika moja ya scene ya filamu hiyo iliyoingia sokoni Jumatatu iliyopita, lakini lilimfanya akose amani kutokana na Wema alivyolipiga kwa mbwembwe na...

 

11 years ago

GPL

AUNT ACHIZIKA NA BUSU LA MBWA

Stori: Imelda Mtema
DIVA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameonekana kuchizika na busu la mbwa baada ya kunaswa akiwa amewabeba mbwa wawili na kufurahia mmoja wapo alipombusu. Diva wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Wema Sepetu, Kijitonyama, jijini Dar. Alipoulizwa furaha aliyokuwa nayo baada ya kubusiwa na mbwa huyo, Aunt alisema: “Haipimiki. Natamani na mimi… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Busu' lamtia mashakani Obama

Barack Obama, ametoa kauli yake kuhusu mwanamume aliyeshikwa na wivu baada ya kumbusu mpenzi wake kwenye mashavu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani