Chilo Afungukia Kupotea Tamthilia za Nyumbani
Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.
![Mzee Chilo](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/Mzee-Chillo.jpg)
Mzee Chilo
Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.
“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Dec
Mzee Chilo adai runinga zilisababisha kupotea tamthilia za nyumbani
![Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Mzee-Chilo-akizungumza-jambo-na-watoto1-300x194.jpg)
Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.
Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.
“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa rahisi?” amesema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN7ap*qh7MK2xATlzcXfXzl5Bnk-EMeCEycfi*SsEezXWA*b-iL1EHDZghx-wAv889s015nJ2yvwYXP7kM0Dwual/chilo.jpg)
BUSU LA BATULI, CHILO UTATA!
10 years ago
Bongo Movies07 Jun
Mzee Chilo Aingia Chimbo
Muigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Tanzania, Mzee Chilo ameonyesha kuwa licha ya umri mkubwa alionao, anaendelea na kazi ya sanaa, hivi sasa akiwa katika utayarishaji wa tamthilia kubwa kabisa inayokwenda kwa jina 'Ghafla Siku Moja'.
Kazi hiyo inaendelea kwa sasa kuongeza nguvu kwa upande wa utayarishaji tamthilia hapa nchini ambao bado upo chini kufuatia wasanii wengi kujikita katika filamu ambazo huwagharimu bajeti na muda mdogo kukamilisha.
Eatv.tv
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Chilo: Going Bongo inastahili tuzo zaidi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJadcLo85Aq*-gp4x2ybwYrTmFwy*bF1IlOmgzlDr2FHAbSwLXPWF9zwvFCPxlCspk1iYkz9*fDoLgRw3leAxZk/mzeechilo.jpg?width=650)
MZEE CHILO AWATOLEA UVIVU WASANII
9 years ago
Bongo Movies12 Nov
Mzee Chilo: Going Bongo Inastahili Tuzo Zaidi
Mwigizaji wa filamu, Chilo ametaja sababu tatu zinazoweza kuifanya filamu ya Going Bongo kushinda tuzo zaidi, ambazo ni maandalizi ya muda mrefu, kuona mbali na waigizaji kutambua kazi yao.
Mwigizaji huyo, ambaye jina lake halisi ni Ahmed Olutu, alisema inawezekana mambo mengine yamo ndani ya maandalizi, lakini kiuhalisia kila jambo linajitegemea, kwa sababu unaweza kuandaa kila kitu lakini waigizaji wakawa hawatambui thamani ya ulichokiandaa na kufanya mzaha katika kazi.
Chilo ni miongoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!
9 years ago
Bongo504 Dec
Chilo, Kijo,Abby Plaatjes waigizaji filamu ya ‘HomeComing’
![Homecoming+official](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Homecoming-official-300x194.jpg)
Mzee Chilo, Daniel Kijo, Hashim Kambi, Abby Plaatjes pamoja na mastaa wengine wanakuja na filamu iitwayo ‘HomeComing’ inayozungumzia athari za rushwa.
Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
Kijo ambaye anafahamika zaidi katika tasnia ya habari aliwahi kutangaza kwenye kipindi cha Daladala kinachorushwa na Star TV, katika filamu hii ameigiza kama mhusika mkuu akitumia...
10 years ago
Bongo513 Apr
Mzee Chilo asema filamu ya ‘Going Bongo’ imemfunza mengi