Cameroon ni mwenyeji wa AFCON 2019
Shirikisho la soka la Afrika limetangaza kuwa Cameroon ndiyo itakayoandaa makala ya 2019 ya kuwania ubingwa wa Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Misri si mwenyeji wa AFCON 2017
waziri wa michezo wa Misri Khaled Abdel-Aziz amethibitisha kuwa nchi yake haitakuwa mwenyeji wa AFCON kwa mwaka 2017.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQN8qw6qSOBn18wYVSZZR8eosfDf1Nop-SF8w8YiV7Xy0p61vaU-yHgzsBnfqbrcOemPEmsnu7MIJ853H6mVRz-R/CAF.png?width=550)
EQUATORIAL GUINEA MWENYEJI AFCON 2015‬
SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeitangaza Equatorial Guinea kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2015 baada ya Morocco kukataa kuandaa michuano hiyo kwa hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola. CAF imeiondoa kabisa Morocco katika timu zitakazoshiriki na sasa nafasi yake inachukuliwa na Equatorial Guinea ambayo mwaka 2012 iliandaa mashindano hayo kwa kushirikiana na Gabon. ...
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Cameroon kuwa mwenyeji wa S.Leone
Cameroon imekubali kuandaa mikondo yote mbili ya mechi ya kufuzu kwa dimba la AFCON2015 dhidi ya Sierra Leone
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Afrika Kusini yajitoa mapema kuwa mwenyeji AFCON 2015
Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula amesema nchi yake hapo tayari kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2015 kama Morocco watajitoa.
5 years ago
Global Banking And Finance Review26 Feb
Orca Exploration Group Inc. Announces Preliminary Financial Results for 2019 and Independent Reserves Evaluation for 2019
Orca Exploration Group Inc. Announces Preliminary Financial Results for 2019 and Independent Reserves Evaluation for 2019 Global Banking And Finance Review
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Nani mwenyeji CAF 2015?
Hatma ya nani atakuwa mwenyeji wa kombe la mataifa ya Africa 2015 maarufu kama Africa Cup of Nations lazima ajulikane,
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili05 May
Uganda mwenyeji riadha Afrika
Uganda itakuwa mwenyeji wa michuano ya riadha ya Afrika itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu nchi za Afrika kushiriki.
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Kikwete mwenyeji tathmini BRN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Irp-Press-Release-kiswahili.docx by moblog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania