CCM Iringa waanza kumnadi Mwakalebela
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa kimezindua kampeni za ubunge Jimbo la Iringa Mjini kwa kumnadi mgombea wake, Frederick Mwakalebela katika mkutano mkubwa uliofurika wananchi kwenye Uwanja wa Mwembetogwa mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo07 Sep
MWIGULU NCHEMBA ASABABISHA MAFURIKO IRINGA MJINI,WANANCHI WAAHIDI KUMCHAGUA MWAKALEBELA KWA USTAWI WA IRINGA
hhhhha
Mwigulu Nchemba na Mwakalebela wakiwa kwenye Gari ya wazi wakielekea Uwanja wa Mwembetogwa hapa Iringa Mjini tayari kwa uzinduzi wa kampeni za Ubunge.
Mwigulu Nchemba akiingia na Gari la wazi kwenye Viwanja vya Mwembetogwa hapa Iringa Mjini kwaajili ya Kumnadi Mwakalebela anayepeperusha Bendera ya Chama Cha Mapinduzi kwenye nafasi ya Ubunge.
Mwigulu Nchemba ambaye yumo kwenye kikosi cha Timu ya Ushindi ya CCM,hapa akiwasili Viwanja vya Mwembetogwa kwaajili ya kuzindua Rasmi kampeni za...
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11987063_424257781109789_1218270817209739675_n.jpg?oh=d3b25221b0ee98dc26e39703133fe598&oe=566C9D6B)
![](https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/10330376_424257834443117_2590905553608251965_n.jpg?oh=a3f7d44b65f6bae9791174720f3870fa&oe=566E5BB0)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/11954816_424257594443141_5282530544314119712_n.jpg?oh=13d73bee1c57e97dab5fabcceddde988&oe=567BA70F&__gda__=1454089245_9f13f1afb82220720964f12a406934f0)
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Ukawa wahamia Iringa, Mungai aibuka na kumnadi mtoto wake
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema amechoshwa na manyanyaso wanayoendelea kuyapata wakulima hapa nchi kwa kukopwa mazao yao na kutozwa ushuru na serilkali bila ya wao kupata faida yoyote.
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Msigwa, Mwakalebela wakabana koo Iringa
KAMA ilivyo kwa Mbeya Mjini, Jimbo la Iringa Mjini nako ni mapambano kati ya Mgombea wa CCM, Davi
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa
Jimbo la Iringa Mjini ni miongoni mwa majimbo ya uchaguzi yanayoongozwa na wabunge kutoka vyama vya upinzani nchini.
9 years ago
Michuzi07 Sep
MWIGULU NA MWAKALEBELA JANA IRINGA MJINI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/ukI5K7ctfgzjWLJEPHOWswsMTs23i6V93q-2rRAMoUSNC3gswLTXBuFc7scVkGBrvqHw35BWYKP9CdcL3PgD6sC19rYuFca-iDW6HYX5iYQ0w5eZcDz75-_UTNjqEsBIiksvkZKa4qYDoIcqZVKWQV_FQaPOpvkDCeDmI57obPV1e3k4V5ZQcq1QW3OZ0HPBzJ1IloQWEL-q8SKpSUIzzWGoMCuKEBJVfNdgIDJNJD2-PYDV=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11987063_424257781109789_1218270817209739675_n.jpg?oh=d3b25221b0ee98dc26e39703133fe598&oe=566C9D6B)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YXVeKgwz9myZiTeInd7mHZAGndLpkCOKrJy2HkvSSYPSQgCmGYNBApxPk_AEKNS94oK6-TKrSvngn1nX4LJc1tx0XOZ7j5C-iMToVtVfIS-bC7q-V0T_OtqHO6CKDgL8aYDshGoanwsyihdjv8KPUsvsR0a3tCAVRNvIOc_-pQtnnAYnxGhTgi-x1T9gFKckTiqLrRfcIBsLTsYj6Np0h5s9v1STkiqljL8FkX8uh8sEJ6NhMBrIUo-wz_MN6LfMKhaf2-EQ7Fx9TTIfnaNdi8aU6oyKBSuLTnv110zK4ZhO_QK9HYBfTn_TOIsC=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlf1/v/t1.0-9/11953285_424257077776526_8972949369218059459_n.jpg?oh=662c57043f09e069a92e6ec3e6c2ac25&oe=567A74CF&__gda__=1449104816_da4508f928de6dc5cf244d10755a17d5)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/vVfvQCUh5_bxClSpEp86Om7O7UlCUkvBOcwK_MaQuuK40HXW4JP40Sx1yLWtNQimEmFnHxLCAtPH5PpSJdV37oMOFa_TPa6nVbEFEJQ-g_AcsSHlbgO0BsGxvtJZrFus6tldik1j4WdcKYB0aZsqaK9Kl0ghd8ZTU6ikUr1-Q4PHdF7Sj9_2TGDYvKjg2yn73F8SHilYSxrg8rrl9LOuznfG2rK9BafWlDDNJBBF_wWytVSF=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11052002_424257104443190_3387261758153421603_n.jpg?oh=b6d20669a9a59f0955cc3a3573b54a23&oe=5668119C)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/sM8lWVSEAnaK3hMfvk95W79vDN7iRHLJH2XDOBrCY-XsrpO6ch5BuhG19oZxrMg895rpfC3wz7aSTfY9Rj5Ts9GuMOQx_s1geEJyG2gCiytjmkA219CPIYf5p-tueK_NICzJkKOeEX86flaD4pnwPTnKBxA39ZC8P2vGtetAhp6akjnEyh0xmDf3kceRAYfVBBY4Xnxk99hVsf1IQjKJF0D0ePC5KmyIp4NBsHtLeJgmQozt=s0-d-e1-ft#https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11216571_877891272264698_2418205193507046526_n.jpg?oh=85bf61eb0b47ff6fe5fe94274744e05e&oe=5662C653)
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mwakalebela aahidi benki Iringa Mjini
Mgombea wa ubunge Jimbo la Iringa Mjini (CCM), Frederick Mwakalebela amesema endapo atachaguliwa, ataanzisha benki ya wafanyabiashara ikiwa ni mkakati wa kuongeza ajira kwa vijana.
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AITEKA IRINGA AWAFAGILIA MWAKALEBELA, MGIMWA
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Samora, mjini Iringa.  Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM, William Lukuvi akitangaza wasifu wa mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk Magufuli wakati wa…
10 years ago
MichuziMwakalebela mgeni rasmi Tamasha la Krismasi Iringa
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Mwakalebela anatarajia pia kuwaongoza waumini mbalimbali mkoani humo kwa lengo la kumtukuza Mungu kupitia waimbaji mbalimbali hapa nchini.
Msama alisema Mwakalebela atafanikisha lengo la kusaidia wenye uhitaji maalum kama Yatima, Wajane na walemavu...
11 years ago
Michuzi24 Apr
MWAKALEBELA AWATAKA WAJASILIAMALI IRINGA KUEPUKA MATAPELI KATIKA MIKOPO YA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania