Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘CCM kupigiwa kura na wanyama’

KATIBU wa Uenezi Jimbo la Manyoni, Alex Jonas (CHADEMA), amesema katika uchaguzi mkuu ujao Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitapigiwa kura na wanyama na si wananchi. Jonas alitoa kauli hiyo alipohutubia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mali na Guinea kupigiwa kura

Ivory Coast imekuwa timu pekee kutoka kundi D kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria ya ndoa sasa kupigiwa kura ya maoni

Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Angellah Kairuki amesema kuwa Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 iko kwenye mchakato wa kurekebishwa kutokana na utata unaokinzana na sheria nyingine za masuala ya kijinsia.

 

10 years ago

Habarileo

Rasimu ya Katiba mpya kupigiwa kura Sept. 21

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta.WAKATI kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) likishinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe haraka iwezekanavyo, Bunge hilo limejiandaa kuwasilisha Katiba inayopendekezwa Septemba 21.

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI TMT KUANZA KUPIGIWA KURA WIKI HII‏

Washiriki wa Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa jukwaani wakati wakiigiza moja ya igizo walilopewa na mwalimu wao Dk. Mona Mwakalinga katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jumanne iliyopita. Igizo hilo ni la kwanza kwa ajili ya mchujo kwa washiriki.
Vijana wakiwajibika katika jukwaa kwa ajili ya kuwania tiketi ya kuzisaka milioni 50 za Kitanzania katika fainali itakayofanyika mwisho wa mwezi Agosti...

 

10 years ago

Vijimambo

RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Zanzibar, akitafakari wakati rasimu hiyo ikisomwaWasanii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, waliochangia pakubwa haki za wasanii kutambuliwa kwenye katiba inayopendekezwa mmoja wao ni Martha Mlata amaye naye ni msanii wa nyimbo za injiliWaziri MkuuMstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanavikundi waliofika bungeni kusikiliza rasimu ya katiba...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?

Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]

The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani