Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM msitafute mchawi, mwajiloga wenyewe

KATIKA toleo 414 la gazeti hili niliandika kuhusu umuhimu wa CCM kuendeleakunoa kisu na kukata.

Yahya Msangi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mchawi muziki wa dansi ni wanamuziki wenyewe

AHLANWASHLAN msomaji wa safu ya Busati. Leo nitazungumzia anguko la muziki wa dansi nchini. Kama wengi tujuavyo, muziki wa dansi hivi sasa umepoteza umaarufu wake kwa wadau huku waangushaji wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msitafute ajira, tengenezeni fursa

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jaqueline Mneney amesema wakati wa watanzania kusaka ajira umekwisha, badala yake watambue muda walionao unawataka wanazalishe ajira. Alisema jambo hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba wamsaka ‘mchawi’

Siku moja baada ya Simba kunyukwa mabao 3-2 na JKT Ruvu, hali si shwari ndani ya klabu hiyo baada ya wachezaji kumwangushia lawama kocha wao Zdravok Logarusic, huku wengine wakiuangushia lawama uongozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Rage: Tusitafute mchawi

>Baada ya kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mgambo Shooting mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage ametaka wanachama wake asitafute mchawi kwa vile kiwango cha timu yao ni kibovu.

 

10 years ago

GPL

UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!

Dustan Shekidele, Morogoro
NI mshangao! Katika hali isiyotarajiwa, ungo wenye vifaa vya kichawi umekutwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro na kuzua kizaazaa kikubwa. Ungo wenye vifaa vya kichawi ukiwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro. Tukio hilo la aina yake lilijiri saa 12  asubuhi, Jumatano...

 

10 years ago

GPL

ANAYEDAIWA MCHAWI ADONDOKEA KANISANI

Stori: Haruni SanchAwa
NIkweli imetokea! Ni kwenye Kanisa la Paradise Internation Ministries lililoko Karakata Ukonga jijini Dar, mwanamke mmoja (pichani) anayedaiwa mchawi alidondoka usiku wa saa saba na kujikuta hawezi kutembea. Mwanamke anayedaiwa kuwa mchawi akiwa amedondoka Kanisani. Tukio hilo lilijiri Septemba 13, mwaka huu wakati waumini wa kanisa hilo wakiwa wamezama kwenye maombi ya kufunga. Ilidaiwa kuwa, waumini...

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUUAWA AKIDHANIWA NI MCHAWI

Na Richard Konga, Arusha
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Alendoufonyi Abdi (pichani) mkazi wa Uduru Machame mkoani Kilimanjaro, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kuokolewa na waumini wa kanisa moja jijini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Kijenge Banana Kata ya Olorieni, Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la Yerusalemu Mpya, Liberty Shirima alisema walimnusuru mwanamke huyo asiuawe...

 

11 years ago

GPL

NISHA AWABWATUKIA WANAOMWITA MCHAWI

Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo. Mwanadada kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Nisha aliyasema hayo kufuatia hivi karibuni kuzagaa kwa tetesi kuwa alizomewa na wasanii wenzake wakimwita mchawi kutokana na mafanikio aliyoyapata kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-31

Wakati natoka mle ofisini niligeuza uso wangu nikaitazama tena ile ofisi. Nilihisi kama nilikuwa naagana nayo. Huenda nilikuwa naitwa kufukuzwa kazi.
Nilishuka ngazi taratibu huku nikiwaza. Maafisa wa wizara yangu niliopishana nao kwenye ngazi pia walinishangaa kuniona hivyo. Nilikuwa kama mgonjwa. SASA ENDELEA…

Kama ninaitwa kufukuzwa kazi, nilijiambia, nijiandae pia kufunguliwa mashtaka ya kufanya vitendo vile vya uchawi nyumbani kwa waziri mkuu.Lakini mbali ya hilo niliendelea kujiambia,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani