Ccm na goli la Mkono ktk uchaguzi wa Okt 25
The post Ccm na goli la Mkono ktk uchaguzi wa Okt 25 appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono
The post Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Goli la mkono si la bahati mbaya
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Ukawa inajifunga goli la mkono yenyewe!
SITAKI kuamini kwamba safari ya vyama vya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwisho wake ni kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Sitaki kuamini kutokana na matamko yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa umoja huu baada ya uamuzi wao wa kususia
mijadala iliyokuwa ikiendelea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Ilikuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, aliyehamasisha wajumbe wa Bunge...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo, Assah Mwambene amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Wamiliki wa Blog/mitandao ya kijamii zingatieni maadili ya upashaji habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (mwenye suti nyeusi aliyesimama-kulia) akisikiliza kwa makini mawazo na maoni yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kushoto) akisikiliza kwa makini maoni yaliyokuwa yakitolewa na Umoja wa Bloggers Tanzania (TBN), Kulia kwake ni Afisa wa Idara hiyo.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM]...
9 years ago
Vijimambo28 Sep
COMRADE MWIGULU NCHEMBA SASA AINGIA MANYARA,WANANCHI WAFURIKA KUIUNGA MKONO CCM UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12043106_430199550515612_2776231540165560381_n.jpg?oh=8af372d05f66de2b05cd3408696594ff&oe=56A26AFE)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12039614_889236764463482_8155304396541486319_n.jpg?oh=0a223245c9e52dfa638cec812350dd84&oe=56A881D7)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11049607_430199623848938_2305083269899712315_n.jpg?oh=42259c196beed29722404ebb62f9e2d0&oe=568F62A3)
10 years ago
Vijimambo04 Jul
‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com/files/oTw*v75BEJGA0rtPvoXLBJSEDHx4ttncygkMzfou0quGXyONA1Y0Hr1sx*84YemxGAAcdxv7pFSjNIgXIkaZBmOFSlu8k*lk/02Baolanape.jpg)
Dar es Salaam.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’
Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...