Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa inajifunga goli la mkono yenyewe!

SITAKI kuamini kwamba safari ya vyama vya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwisho wake ni kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Sitaki kuamini kutokana na matamko yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa umoja huu baada ya uamuzi wao wa kususia
mijadala iliyokuwa ikiendelea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Ilikuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, aliyehamasisha wajumbe wa Bunge...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Goli la mkono si la bahati mbaya

Uchaguzi Mkuu unakaribia. Kukaribia kwa uchaguzi huu, kumeanza kuzuka kwa kauli tata kutoka kwa baadhi ya wanasiasa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono

The post Mizengwe ya ccm kutumia goli la mkono appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ccm na goli la Mkono ktk uchaguzi wa Okt 25

The post Ccm na goli la Mkono ktk uchaguzi wa Okt 25 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waislamu wawaunga mkono UKAWA

WAKATI Umoja wa Katiba (UKAWA) ukiwalaumu baadhi ya viongozi kwa kupendelea CCM, Jumuiya, Taasisi za Kiislamu na Shura ya Maimamu nchini, wamewataka wasirejee bungeni hadi watakapohakikishiwa kuwa mawazo ya wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukawa waungwa mkono mgombea mmoja

Baada ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kukubaliana kumsimamisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu mwakani, baadhi ya wasomi na viongozi wa asasi za kiraia wameunga mkono hatua hiyo.

Aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu, alisema lengo la kuundwa kwa Ukawa lilikuwa ni kuunganisha nguvu kusaidia mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ambayo alidai kupinduliwa.

Prof. Baregu, alisema maazimio ya Ukawa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa wataka kuungwa mkono Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge wamewaomba wananchi kuwaunga mkono katika harakati za kudai Katiba Mpya yenye kujali masilahi ya Watanzania wote.

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani