Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu wawaunga mkono UKAWA

WAKATI Umoja wa Katiba (UKAWA) ukiwalaumu baadhi ya viongozi kwa kupendelea CCM, Jumuiya, Taasisi za Kiislamu na Shura ya Maimamu nchini, wamewataka wasirejee bungeni hadi watakapohakikishiwa kuwa mawazo ya wananchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waislamu watakiwa kuiunga mkono Bakwata

TAASISI ya Tanzania Islamic Peace Foundation (TIPF) imewataka Waislamu kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata). Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Sheikh Sadiki...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Waislamu wataka Ukawa warudi bungeni

WAISLAMU nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kurudi katika Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waislamu Singida waomba Ukawa warejee Bungeni

DSC00310

Sheikh wa mkoa wa Singida na Meya Mstahiki wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akitoa mawaidha yake kwenye kilele cha Siku kuu ya Eid El-Fitr kilichofanyika kwenye uwanja wa Namfua leo. Pamoja na mambo mengine, Sheikh Mahami amekisihi kikundi cha Ukawa kurudi Bungeni, ili waweze kuwapatia Watanzania Katiba itakayokidhi mahitaji ya zaidi ya miaka 50 ijayo.

Na Nathaniel Limu

WAUMINI wa dini ya kiislamu mkoani Singida, wameungana na Watanzania wanaoipenda nchi yao...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ukawa inajifunga goli la mkono yenyewe!

SITAKI kuamini kwamba safari ya vyama vya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwisho wake ni kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Sitaki kuamini kutokana na matamko yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa umoja huu baada ya uamuzi wao wa kususia
mijadala iliyokuwa ikiendelea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Ilikuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, aliyehamasisha wajumbe wa Bunge...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukawa waungwa mkono mgombea mmoja

Baada ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kukubaliana kumsimamisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu mwakani, baadhi ya wasomi na viongozi wa asasi za kiraia wameunga mkono hatua hiyo.

Aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Mwesiga Baregu, alisema lengo la kuundwa kwa Ukawa lilikuwa ni kuunganisha nguvu kusaidia mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ambayo alidai kupinduliwa.

Prof. Baregu, alisema maazimio ya Ukawa...

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba arejea, aapa kutounga mkono Ukawa

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba alirejea nchini jana jioni akitokea Kigali, Rwanda alikokwenda mara tu baada ya kujiuzulu wadhifa huo siku nane zilizopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa wataka kuungwa mkono Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge wamewaomba wananchi kuwaunga mkono katika harakati za kudai Katiba Mpya yenye kujali masilahi ya Watanzania wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani