Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM NEW YORK YAPAMBA MOTO LEO KUPATA VIONGOZI

 WATU WAKIWA NA VAZI LA CHAMA JITIRIRSHE NA PICHA ZA SHAMLA SHAMLA YA UCGAGUZI HUO UNAOFANYIKA LEO KUANZA SAA 8 MCHA HADI SAA 1 USIKU.
 BWANA MALIMA NA VAZI LA CHAMA UTAWATAKAJE CCM LEO HII NI SIKU YAO
 BAHIA MAUNDI MGOMBEA UPANDE WA VIJANA WA CCM LEO HII KAZI HIPO





Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

CCM NEW YORK YAFANYA UCHAGUZI NA KUPATA VIONGOZI WAO WA TAWI

Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi Bwana Isaac Kibodya akitoa maelezo ya jinsi ya upigaji kura. Tawi la CCM New York lilifuguliwa Miaka mitatu iliyopita lilikuwa alijawahi kufanya uchaguzi na kipindi hicho chote lilikuwa linaongozwa na viongozi wa muda. Sasa Tawi limepata viongozi wake Mwenyekiti ni Seif Akida na viongozi wengi ni katibu mwenezi wa siasa ni Steve Bubelwa, wajumbe ni bwana Magawa Ernest, Mauris Mwingira, Shaban Mseba na Ibrahim Selungwi. Kwa upande wa umoja wa vijana...

 

11 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI


 Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland. Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI‏

 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Maadhimisho miaka 38 ya CCM yapamba moto


NA  DUSTAN   NDUNGURU,   SONGEA
MAANDALIZI ya sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yameanza kushika kasi mkoani Ruvuma, baada ya kuanza kuwasili kwa viongozi wa Chama kwa ajili ya sherehe hizo, zitakazofanyika Februari Mosi, mwaka huu, katika viwanja vya Majimaji.
Miongoni mwa viongozi walioanza kuwasili ni pamoja na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Taifa,  Abdallah Bulembo na Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stella...

 

10 years ago

Michuzi

MICHEZO YA MEI MOSI YAPAMBA MOTO CCM KILUMBA, MWANZA

 Timu ya Wanaume Wavuta Kamba wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakivutana na Timu pinzani ya Uchukuzi (hawapo pichani) wakati wa fainali ya michezo ya Mei Mosi iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa CCM Kilumba Mkoani Mwanza leo. Timu ya Wanawake Wavuta Kamba wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakipambana na Timu pinzani ya Uchukuzi (hawapo pichani) wakati wa fainali ya michezo ya Mei Mosi iliyofanyika Kitaifa Mkoani Mwanza leo. Meneja wa Timu za Michezo ya Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Suleman Kifyoga (wa kwanza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yapamba moto Yemen

Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambuliz kwenye mji mkuu wa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yapamba moto Burundi

Waandamanaji nchini Burundi wameingia mitaani hasira baada ya Rais wa taifa hilo kuamua kugombea nafasi hiyo tena kwa muhula wa 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Vilabu Afrika yapamba moto

Mashindano ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa barani Afrika ilianza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani