Maadhimisho miaka 38 ya CCM yapamba moto
NA DUSTAN NDUNGURU, SONGEA
MAANDALIZI ya sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yameanza kushika kasi mkoani Ruvuma, baada ya kuanza kuwasili kwa viongozi wa Chama kwa ajili ya sherehe hizo, zitakazofanyika Februari Mosi, mwaka huu, katika viwanja vya Majimaji.
Miongoni mwa viongozi walioanza kuwasili ni pamoja na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Taifa, Abdallah Bulembo na Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stella...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VcRP_k5J7X8/VDln2CYOXzI/AAAAAAADJaQ/bUFm3heNuHk/s72-c/IMG-20141011-WA001%2B(1).jpg)
CCM NEW YORK YAPAMBA MOTO LEO KUPATA VIONGOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VcRP_k5J7X8/VDln2CYOXzI/AAAAAAADJaQ/bUFm3heNuHk/s1600/IMG-20141011-WA001%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7yEGnEnu_ZI/VDln2HM9CiI/AAAAAAADJaY/hFKGyGbwFfY/s1600/IMG-20141011-WA007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8zNj9UAFhIM/VDln26UY_uI/AAAAAAADJac/9Qdhnc3Npm8/s1600/IMG-20141011-WA008.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XSlRil5_KFQ/VDln3cy2mYI/AAAAAAADJag/zBv4cQiNB9U/s1600/IMG-20141011-WA009.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Ju3ackuPms/VDln4hiB_EI/AAAAAAADJa4/AqNwF8-B6f8/s1600/IMG-20141011-WA004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VZa_FeS3378/VDln6XSxHBI/AAAAAAADJbA/YQAlpLpmndY/s1600/IMG-20141011-WA006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-fz97xqSAk/VDln71l99lI/AAAAAAADJbI/kN0dxnIfOdU/s1600/10632771_10204634498079416_3078923741122422025_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2PsPuj0OpoQ/VT_2pU_0nXI/AAAAAAAHT7A/_yBSU2peqk0/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MICHEZO YA MEI MOSI YAPAMBA MOTO CCM KILUMBA, MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PsPuj0OpoQ/VT_2pU_0nXI/AAAAAAAHT7A/_yBSU2peqk0/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ganvmLkQfvE/VT_2pMxNORI/AAAAAAAHT68/TGyS87x58Dc/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kescDWwshZ4/VT_2pCpkyoI/AAAAAAAHT7E/bh3rj_72Tg4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s72-c/missTZ2014.png)
MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s1600/missTZ2014.png)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Dkt. Bilal aongoza maadhimisho miaka 38 ya CCM Dar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Wananchi na Wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es salaam alipowasili Viwanja vya Tawi la CCM kwa Mwinjuma Kinondoni Dar es salaam jana Februari 02,2015 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea CD yenye mashairi maalum ya...
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/32.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DK. KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA