Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wakataa ushiriki wa Wenyeviti badala ya wagombea

Wakati homa ya midaalo ikikaribia kuanza kwakuwashirikisha wagombea wa nafasi ya Urais Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakikubaliani na kauli iliyotolewa na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kuhusu ushiriki wa wenyeviti wa vyama vya siasa katika mdahalo unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa Septemba badala ya wagombea urais.

Aidha imeelezwa kuwa kauli zinazotolewa na umoja huo kuhusu kuibiwa kura wakati wa uchaguzi hazikubaliki kwa sababu zinaweza kuchochea uvunjifu wa amani...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ngasongwa na ushiriki wa mdahalo badala ya Mkapa

>Unapozungumzia siasa za vyama huwezi kuweka kando sera au ilani za vyama kwani ndiyo mwongozo wa mipango inayoelezwa kwa wanachama na wananchi ili kuwavutia kukipigia kura chama husika kushika dola.

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wajivuta kuthibitisha ushiriki mdahalo

Kamati ya Maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania-MCT imetoa  muda hadi keshokutwa kwa vyama vyenye wagombea urais kuthibitisha ushiriki wao katika Midahalo waliouandaa.

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wajivuta kudhibitisha ushiriki mdahalo

Kamati ya Maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania-MCT imetoa  muda hadi keshokutwa kwa vyama vyenye wagombea urais kuthibitisha ushiriki wao katika Midahalo waliouandaa.

 

11 years ago

GPL

TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA

Mgana Izumbe Msindai – Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa akitoa tamko hilo kwenye makao makuu ya Chama Chama Mapinduzi Ofisi ndogo Lumumba jijini Dar es salaam leo,kulia ni Haji Juma Haji – Makamu Mwenyekiti Wa Wenyeviti Mikoa na kushoto ni Lucas Ole Mukusi – Katibu wa Wenyeviti Mikoa. ................................................................................................................ Sisi...

 

10 years ago

Michuzi

WENYEVITI WA TAIFA WA VYAMA VYA NCCR -MAGEUZI ,JAMES MBATIA NA AGUSTINE MREMA WA TLP WAWANADI WAGOMBEA WAO JIMBONI VUNJO.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi akiendelea na mikutano ya kampeni katika kijiji cha Kisangesangeni kata ya Kahe akiwanadi wagombea wa nafasi za Uenyekiti.Msafara wa Pikipiki ukiongoza kuelekea kijiji cha Ngaseni kwa ajili ya mikutano ya kampeni ya chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

N a Magreth Kinabo ,Dodoma Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Samwel Sitta leo (jana), ametangaza majina ya wenyeviti na makamu wenyeviti wa Kamati za bunge hilo.  Majina hayo yametangazwa na Mwenyekiti huyo  baada ya uchaguzi wa viiongozi hao uliofanyika  (jana) Machi 24 , mwaka  2014 mjini  Dodoma . Mwenyekiti ametangaza majina haya baada ya kuunda kamati hizo  jana kwa mujibu wa kanuni ya 54 (1) ya kanuni za Bunge Maalum za Mwaka 2014 ambazo zimetungwa chini ya kifungu cha 26...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenyeviti CCM watishia kuhama

WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais na Serikali wanaitetea CCM, badala ya Watanzania

Wakati Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ilipokabidhiwa madaraka, iliapa kuilinda Katiba, kuongoza nchi kidemokrasia na kuwa na utawala bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani