Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngasongwa na ushiriki wa mdahalo badala ya Mkapa

>Unapozungumzia siasa za vyama huwezi kuweka kando sera au ilani za vyama kwani ndiyo mwongozo wa mipango inayoelezwa kwa wanachama na wananchi ili kuwavutia kukipigia kura chama husika kushika dola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

CCM wakataa ushiriki wa Wenyeviti badala ya wagombea

Wakati homa ya midaalo ikikaribia kuanza kwakuwashirikisha wagombea wa nafasi ya Urais Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakikubaliani na kauli iliyotolewa na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kuhusu ushiriki wa wenyeviti wa vyama vya siasa katika mdahalo unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa Septemba badala ya wagombea urais.

Aidha imeelezwa kuwa kauli zinazotolewa na umoja huo kuhusu kuibiwa kura wakati wa uchaguzi hazikubaliki kwa sababu zinaweza kuchochea uvunjifu wa amani...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli athibitisha ushiriki mdahalo wa urais

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amethibitisha kushiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza, utakaofanyika kesho ambao utawakutanisha wagombea watano wa vyama vya upinzani.

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wajivuta kuthibitisha ushiriki mdahalo

Kamati ya Maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania-MCT imetoa  muda hadi keshokutwa kwa vyama vyenye wagombea urais kuthibitisha ushiriki wao katika Midahalo waliouandaa.

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wajivuta kudhibitisha ushiriki mdahalo

Kamati ya Maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania-MCT imetoa  muda hadi keshokutwa kwa vyama vyenye wagombea urais kuthibitisha ushiriki wao katika Midahalo waliouandaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Ngasongwa: CCM inababaika

>Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Tatu ya Rais Benjamin Mkapa na katika Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete, Dk Juma Ngasongwa amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinababaika katika kutekeleza majukumu yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Juma Ngasongwa anusurika ajalini

Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, Dk Juma Ngasongwa (72) amenusurika kufa baada ya kupata ajali ya gari katika eneo la Picha ya Ndege, wilayani Kibaha, Pwani.

 

11 years ago

TheCitizen

Ngasongwa cheats death in road crash

The former minister for Industry and Trade, Dr Juma Ngasongwa, was on Monday involved in a road accident after the car he was travelling in collided with a truck at Picha ya Ndege in Coast Region.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA

PG4A2748Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako atakuwa  mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza.
PG4A2753Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akizungumza na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako  atakuwa   mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wapongezwa ushiriki wa Katiba

SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF), limepongeza ushiriki na mshikamano wa wanawake kuelekea kupata Katiba mpya. Mratibu wa WiLDAF, Judith Odunga, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani