CCM wakwamisha mradi wa maji Kimara
MRADI wa maji ya kisima uliyozinduliwa hivi karibuni na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala, mtaa wa Golani Kata ya Kimara jijini Dar es Salaam umekataliwa na wanachama wa Chama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
10 years ago
Habarileo10 Dec
CCM yaelezea ujenzi mradi mkubwa wa maji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimesema mradi mkubwa wa majisafi na salama kutoka Ziwa Victoria unatarajia kuanza kutekelezwa mapema Januari 2015 ukitokea mkoani Shinyanga kupitia Nzega na Igunga mpaka Tabora.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
CCM YATOA SIKU 30 KUKAMILISHWA KWA MRADI WA MAJI KILINDINI – MICHEWENI, KASKAZINI PEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s640/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9727AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9763AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9781AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9800AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Wilaya ya Micheweni, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole amesema Chama Cha Mapinduzi kimetoa siku 30 kukamilishwa kwa mradi wa maji Wilaya...
10 years ago
Habarileo22 Dec
Ndoo ya maji Kimara yauzwa 1,000/-
WAKAZI wa Kimara jijini Dar es Salaam wanaendelea kununua ndoo ya majisafi kwa Sh 1,000 na maji hayo hayapatikani kwa urahisi.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v_Eg5epiVpo/Vl2baVkLqsI/AAAAAAAIJhI/VaF9WMwGDq4/s72-c/DSC01773.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UIMARISHAJI MRADI WA MAJI SAFI MAKUNDUCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-v_Eg5epiVpo/Vl2baVkLqsI/AAAAAAAIJhI/VaF9WMwGDq4/s640/DSC01773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tm2PK6obsks/Vl2baMCxVfI/AAAAAAAIJhQ/uFopLtt3ym4/s640/DSC01775.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zgkPVeGgDL4/U9F7Gd4e4AI/AAAAAAAF54E/ltw4axs1xQo/s72-c/unnamed+(21).jpg)
aliyejiunganishia maji kinyume na sheria Kimara kwa musuguri matatani
![](http://1.bp.blogspot.com/-zgkPVeGgDL4/U9F7Gd4e4AI/AAAAAAAF54E/ltw4axs1xQo/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwx3Mx-eI0Y/U9F7GgTSRQI/AAAAAAAF54M/dvDghmkh8-U/s1600/unnamed+(22).jpg)